Recent content by Masoco Africa

  1. M

    Tusisahau: Mateso, Kifo na Mateso ya Tundu Antipas Mughwai Lissu

    Naona wanaendelea kumtesa Lissu
  2. M

    Tusisahau: Mateso, Kifo na Mateso ya Tundu Antipas Mughwai Lissu

    Habari za Wakati huu; Kwanza nianze kwa kusema tu kwamba kwa wale ambao jana walisahau basi jana ilikuwa ni Siku muhimu sana kwa historia ya nchi yetu.Kwa mujibu wa Taarifa za kihistoria Jana tarehe 7 ya mwezi wa Tisa ya mwaka 2017 ilikuwa ni siku ambayo kwa mara ya kwanza Mbunge wa bunge la...
  3. M

    Ndugu yangu amefeli F6 analia tu kila wakati naombeni ushauri

    Mbona amefaulu huyo? Mwambia tu kwamba ajiamini na aamini kwamba hakwenda shule kupoteza MUDA bali kupata elimu na elimu ameipata. Pili Hizo Max sio kipimo chake kipimo chake ni hichi anachokifanya baada ya Matokeo na atakachokifanya baada ya hapo. Kama atakaa na kujilaumu tu basi hata...
  4. M

    Natafuta projector

    How much?
  5. M

    Corporate Emails for your Business @ 90,000 per year

    Closed
  6. M

    Kwenye vituo vya kujiandikisha kwenye daftari la maboresho la wapiga kura tunaambiwa kadi zetu tuzipeleke kwa mjumbe wa nyumba kumi wa CCM

    NIlikuwa Busy Kidogo; Je Unalipa Kodi?Je unatumia Huduma za Kijamii?Je unafuata Sheria za nchi?Kama Jibu ni Ndio Bas hakuna ulichosusia bali unakimbia Majukumu yako ya Msingi?Demokrasia ni kukubali kutokukubliana.Hivyo Kama hukubaliani na Uhuni hiyo nayo Demokrasia. Watanzania inapaswa...
  7. M

    Kwenye vituo vya kujiandikisha kwenye daftari la maboresho la wapiga kura tunaambiwa kadi zetu tuzipeleke kwa mjumbe wa nyumba kumi wa CCM

    Unajua kuna jambo moja ambalo watu wengi hawaelewi.Kususia Uchaguzi pia ni uchaguzi,Kutoshiriki katika uchaguzi pia ni uchaguzi.Kushindwa katika uchaguzi pia ni uchaguzi. Tunachopaswa kufahamu na kuelewa ni kwamba sisi kama Raia wa nchi tunao wajibu.Wajibu wenyewe ni kuleta mabadiliko na kuleta...
  8. M

    Nauza mayai ya Kisasa

    Una TREY NGAPI?
  9. M

    Kwenye vituo vya kujiandikisha kwenye daftari la maboresho la wapiga kura tunaambiwa kadi zetu tuzipeleke kwa mjumbe wa nyumba kumi wa CCM

    Kila mahali duniani,Ndio maana huwa unaona Daftari la wapiga KURA huwa linawekwa wazi na kila chama kinapewa Copy.Kama hujui jifunze ili ufahamu.
  10. M

    Kwenye vituo vya kujiandikisha kwenye daftari la maboresho la wapiga kura tunaambiwa kadi zetu tuzipeleke kwa mjumbe wa nyumba kumi wa CCM

    Kupuuza zoezi la uchaguzi athari zake ni kubwa zaidi kuliko kushiriki kati mchakato.Shiriki katika zoezi la uandikishaji.
  11. M

    Kwenye vituo vya kujiandikisha kwenye daftari la maboresho la wapiga kura tunaambiwa kadi zetu tuzipeleke kwa mjumbe wa nyumba kumi wa CCM

    Mkuu,Ujinga ni kufikiri kila mwenye fikra tofauti na wewe ni mjinga.Ujinga pia ni kuamini kwamba Uchaguzi unaibiwa.Mchakato wa Uchaguzi unaanzia kwenye hatua ya uandikishaji.Ili uchaguzi uwe huru na wa haki ni lazima zoezi la uandikishaji liwe ni la haki. Utakapoelewa hilo basi utakuwa na haki...
  12. M

    Kwenye vituo vya kujiandikisha kwenye daftari la maboresho la wapiga kura tunaambiwa kadi zetu tuzipeleke kwa mjumbe wa nyumba kumi wa CCM

    Sio MWanachama wa Chama cha siasa ila ni mdau wa mchakato wa uchaguzi na hivyo Vyama vya siasa vina haki na wajibu wa kukagua daftari la wapiga kura.Tatizo watu hawatumii wajibu wao huu wa kisiasa na kijamii
Back
Top Bottom