Hawawezi kumueleza ukweli kwanza yeye siyo mkatoliki, na haijawahi kutokea mkatoliki akaenda kuabudu kwa mzee wa upako, Mara seventh days
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ccm mnaroho mbaya kama ya firauni, hamtauna ufalme wa Mungu kwa matendo yenu maovu na dhuluma dhidi ya wanyonge
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi yetu sasa imefikia hatua mbaya, haki za binaadam zinavunjwa tena zinavunjwa na viongozi, hii ndiyo nchi ya Aman
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto wewe ni ccm hakuna asiyekujua, hata wapambe wako uliofukuzwa nao, wote ni ccm, unatarajiwa kuteuliwa kuwa waziri wa nishati, unapewa fadhila baada ya kumaliza kazi uliyotumwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.