Recent content by Masinki Nyansarari

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wakuu, nampa laki tatu kila mwezi lkn bado anatishia kunipeleka ustawi wa jamii.

    Ww muraa unaniabisha sasa,,,kwani akienda huko ustawi wa jamii watakufanyaje???kama una evidence zote acha aaende tuuu. Ila mwishowe ataambulia laki moja tu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Namba za organizer wa TB Joshua hapa Tanzania

    Acheni masuala ya kumkatisha tamaa mtoa post kila mtu ana imani yake moyoni/nafsini.kama kuna anayejua amwelekeze kwa DM. Masuala ya kuanza kumwelekeza akaabudu wapi sio amri yenu. Wengine mmetoka kwa waganga hivi juzi tu humu ila mnajidai hamfanyi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Usipomfundisha mtoto self reliance ni sawa na kumnyanyapaa hata uwe na uwezo kiasigani

    Hongera kwake,,,la sivyo angekufa kwa presha
  4. M

    JamiiForums Tanzania Anapost picha yuko na best man

    Unajua muda mwingine sie wanaume tuna akili za mende,,,,yaani mwanamke/demu wako anapost kwenye dp anamsifia msela alafu unakuja kuomba ushauri,,,wa nini???*** u
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nani ni Nani jimbo la Serengeti 2020, Stephen Kebwe au Charles Moremi?

    Umeona eeeh!!asitufanye hatujui yanayoendelea huko Mugumu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Leo Lissu anafanyiwa upasuaji wa mwisho kabla ya kurejea nyumbani, Tumuombee..

    Mwenyezi Mungu amsimamie katika hili...ukipona mh Tundu Lissu rudi Nchini kwako haraka,,na sio kuzunguka huku na huko kumkashifu Mh Rais na kutuhumu vyombo vya dola.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Jiwe yu wapi?

    Kuna siku huwa najiuliza,huyu jamaa alikuwa Afisa Usalama kweli???maana mara nyingi huandika pumba japo sio post zote.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nani ni Nani jimbo la Serengeti 2020, Stephen Kebwe au Charles Moremi?

    Acha ukabila ww,,umeandika kinazi sana..mengi uliyoongelea kuhusu Dr Kebwe Stephen ni habari za kuokoteza kwenye vijiwe vya kahawa hapo Mugumu,serengeti.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuseme hapana kwa Tundu Lissu!!!

    Naogopa ku comment zaidi ya hapo.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuseme hapana kwa Tundu Lissu!!!

    Siwezi kukujibu kwa matusi,,,,lakini yote uliyosema kunahalalisha Tundu Lissu kumkashifu na kumdharau Rais wa Jamhuri,,,mzee Nchi yetu bado changa sana ,tuijenge kwa umoja na tuwapinge wote wanaotaka kuturudisha nyuma. Alipigwa risasi na watu wasiojulikana na sio vyombo vya dola,tukio lake...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuseme hapana kwa Tundu Lissu!!!

    Rafiki yangu,hakuna sheria kandamizi hapa Nchini inayokataza viongozi kusemwa kwa sababu hii ni Nchi huru na ya kidemokrasia,,lakini kusemwa kwenyewe kuwe kwa staha na nidhamu na sio kashfa na dharau.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuseme hapana kwa Tundu Lissu!!!

    Andika kama una maarifa kichwani,,,mhemuko na matusi ya nini??au una chembechembe ya U tundu Lissu,,utetezi gani anaotoa??nani amenufaika na yote aliyoyasema??kumkashifu Rais ndio utetezi??ama kutuhumu na kudhalalisha vyombo vya dola ndio utetezi?? Mwambieni arudi Nchini aendelee na kuwasemea...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuseme hapana kwa Tundu Lissu!!!

    Joseph Sokoine,,,hajafukuzwa ubalozi,bali alifanyiwa mabadiliko ambayo ni kawaida katika utendaji wa serikali. Na hadi sasa kama sijakosea ni katibu mkuu wizara(sijaipata vizuri)
  14. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuseme hapana kwa Tundu Lissu!!!

    Tigha uwe!!!!na wewe mura mzima unaungana na TL???hizo kashfa anazotoa Kwa Mkuu wa Nchi huzisikii???na je tuhuma za kipumbavu kwa vyombo vya dola??? Rudi jando msani hukuiva
  15. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuseme hapana kwa Tundu Lissu!!!

    Jisemee wewe ila wengi tunapingana naye kwa sababu za kumtukana Rais na vyombo vya dola..
Back
Top Bottom