Wakubwa Mimi nipo Mwanza nataka kuhamia Morogoro sasa nina biashara yangu hapa ya Vitenge ambayo anasimamia mke wangu.
Naombeni kwa wale wenyeji wa mji ni Morogoro sehemu gani naweza kupata sehemu nzuri ya biashara yangu hii
Umewahi kupata wazo kuwa mtu kazini kwako hana nia njema na wewe?
Je, wakati mwingine unahisi kuna watu fulani unaofanya nao kazi ni wabaya wako?
Inawezekana isiwe uadui wa moja kwa moja lakini kuna ile hali ya kutokuamni wenzako.
Unajisikia haupo salama unapomsikiliza mtu lakini hujui ni...
Habari wanajamii, naomba kufahamishwa in deep nataka kuanza biashara ya stationery kwa mtaji wa Tsh. miloni 1 kwa Dar es Salaam.
Je, mtaji unatosha kuanza?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.