Recent content by masikini tajiri

  1. masikini tajiri

    Sehemu gani pazuri kwa biashara ya vitenge kwa Morogoro?

    Wakubwa Mimi nipo Mwanza nataka kuhamia Morogoro sasa nina biashara yangu hapa ya Vitenge ambayo anasimamia mke wangu. Naombeni kwa wale wenyeji wa mji ni Morogoro sehemu gani naweza kupata sehemu nzuri ya biashara yangu hii
  2. masikini tajiri

    SoC02 Namna ya kufanya kazi na maadui sehemu ya kazi

    Umewahi kupata wazo kuwa mtu kazini kwako hana nia njema na wewe? Je, wakati mwingine unahisi kuna watu fulani unaofanya nao kazi ni wabaya wako? Inawezekana isiwe uadui wa moja kwa moja lakini kuna ile hali ya kutokuamni wenzako. Unajisikia haupo salama unapomsikiliza mtu lakini hujui ni...
  3. masikini tajiri

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Sawa kaka asante sana Sent using Jamii Forums mobile app
  4. masikini tajiri

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Sawa shukurani sana kaka Sent using Jamii Forums mobile app
  5. masikini tajiri

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Asantee sana bro Sent using Jamii Forums mobile app
  6. masikini tajiri

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Asantee sana bro, nimekuelewa vizuri sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. masikini tajiri

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Habari wanajamii, naomba kufahamishwa in deep nataka kuanza biashara ya stationery kwa mtaji wa Tsh. miloni 1 kwa Dar es Salaam. Je, mtaji unatosha kuanza? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. masikini tajiri

    Umuhimu wa kunywa maji ya Limao asubuhi

    Habari! Wanajamii naomba kufahamishwa kiasi gani cha kunywa maji yenye limao? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. masikini tajiri

    Nataka nifanye kazi ya kusajili laini

    Safi sana kaka Sent using Jamii Forums mobile app
  10. masikini tajiri

    Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

    Sawa asante sana Sent using Jamii Forums mobile app
  11. masikini tajiri

    Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

    Sawa nashukuru sana kaka Sent using Jamii Forums mobile app
  12. masikini tajiri

    Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

    Nakuomba unielekeze vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom