Recent content by mashinetata

  1. mashinetata

    Mkoa gani unaongoza kwa mbu Tanzania?

    Sehemu yoyote ambako mpunga unalimwa. Ongezea na Dar
  2. mashinetata

    Kusomesha Watoto kwenye Shule za Gharama Kubwa – Ulimbukeni, Kuendana na Wakati, Faida au Hasara?

    Hivi ni vitu gani katika jamii mtu anatakiwa kujinyima ili kufanikisha kuvifanya na jamii isimuone limbukeni? Kwa sababu mtu akijinyima kununua gari anasemwa Akijinyima katika ujenzi anasemwa Akijinyima kupanga nyumba nzuri anasemwa Au jamii yetu imefika hatua ya kunormalize vitu vibaya?
  3. mashinetata

    Influencer/brand ambassadors huwa wana ushawishi wa maana kwa watu kununua au kubadilisha bidhaa au huduma fulani?

    Nakumbuka uefa euro ya mwaka 2021 C.Ronaldo alikuwa kwenye press conference na mezani kulikuwa na vinywaji vya cocacola kama wadhamini, Ronaldo alipofika eneo la tukio na aliviondoa vile vinywaji vya kampuni ya cocacola na kuweka maji kama mbadala wake huku akizungumza “don’t drink Cocacola...
  4. mashinetata

    Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

    Mkuu swali hili tafadhari
  5. mashinetata

    Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

    Nimesha pitia kule mkuu toka jana. Nikaacha swali tena
  6. mashinetata

    Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

    Asante sana mkuu, nadhani mm naweza kuwa nimesababishiwa na moja wapo ya ulivyo orodhesha. Tuje kwenye njia za utatuzi kama unaweza kuziorodhesha sambamba na faida na hasara zake ili nifanye maamuzi kabla sijafika magomeni
  7. mashinetata

    Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

    Sawa usisahau kunitag utakapo upandisha
  8. mashinetata

    Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

    MZAHA 1. Yesu alikuwepo kabla ya ibrahimu je hao houth walikuwepo 2. Yesu alifufuka baada ya siku tatu je hao watafufuka 3. Upendo wa agape hauhusishi kumdhuru mwingine ili mwingine asaidike zaidi umesisitiza kuwa tuwapende zaidi wanao tukosea kuliko hata marafiki zetu ULINGANIFU WA YESU na...
  9. mashinetata

    Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

    japo umeongea kwa mzaha ila ngoja tuliweke sawa. Ubora wa Yesu kujitoa haupo katika kitendo tu cha kufa kwa ajili ya watu lakini ni uthamani wake, yeye hakuwa na hata tone la dhambi tofauti na mimi au wewe. 2. Yesu hakumdhuru mwingine ili ampatie haki mwingine.
  10. mashinetata

    Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

    Kwa mtu ambae ana mpangilio mbaya wa meno yani yaacha nafasi na kutengenezea ueazi wa mabaki ya chakula kubaki na kusumbua kutoka hata kwa toothpick, njia ya kumsaidia ni kuyapanga kwa hzo braces pekee au kuna njia nyingine tofauti? Kama ni hizo braces je, side effect zake ni zipi kwa mtu wa...
  11. mashinetata

    Msaada service ya mitsubishi Outlander 2007

    Hilo group bado una access nalo?
  12. mashinetata

    Dondoo za hatifungani za leo - 20yrs Bond 15.49%

    Mkuu hii haifunguki kwangu, unaweza kuituma tena tafadhari.
  13. mashinetata

    Milioni 70 inatosha kufungua Pharmacy ya jumla jijini Dodoma?

    Pamefungwa PM kwako, unaweza kunipm ww kwanza?
Back
Top Bottom