Recent content by mashi ga ngoko

  1. M

    Nina Diploma ya Uandishi wa Habari inawezekana kusoma masomo ya biashara?

    Asante mkuu,kinachoniogopesha ni huu mfumo wa uchaguaji kupitia kwenye system.
  2. M

    Nina Diploma ya Uandishi wa Habari inawezekana kusoma masomo ya biashara?

    Sababu ya kubwa ya kubadili ni kwa sababu nimejiajiri mwenyewe katika biashara mbalimbali. Hivyo naona kuendesha bila ya kuwa na elimu ya biashara nahisi kama kuna vitu nakosea sababu nina update mtaji mara jwa mara. Hivyo kuendesha biashara bila ya kuwa na elimu husika naona kama najitekenya...
  3. M

    Kumhasi mbwa (Castration)

    Leo mbona kafufuka.
  4. M

    Kumhasi mbwa (Castration)

    Nilitaka kujua daktari alikuambia nini kuhusu kumhasi Mbwa haijalishi amepotea au alikufa.Nahitaji jibu la kitaalam Mkuu
  5. M

    Kumhasi mbwa (Castration)

    Nasubiri mrejesho mkuu,baada ya kukutana na daktari alikushauri nini?
  6. M

    Tunanunua ng'ombe wadogo/ndama

    Ufugaji Ufugaji
  7. M

    Tunanunua ng'ombe wadogo/ndama

    O[ mkuu natafta ndama hao wako ni wakubwa siwawezi.But nicheki kwenye line tuongee biashara.QUOTE="balimar, post: 33791161, member: 326137"] Mkuu hongera Mi ninao watano wa kisasa Jesse Ila bei nadhani hutoweza maana hawapungui million 1.5 Ok
  8. M

    Tunanunua ng'ombe wadogo/ndama

    Wasiliana nambi kwa namba hi 0788 548 673
  9. M

    Tunanunua ng'ombe wadogo/ndama

    niambie ulipo nije nimuone mkuu.
Back
Top Bottom