Recent content by mashalauru

  1. M

    Uchaguzi wa CDM January 2025 ni kuchagua kukinusuru au kukiua kabisa chama.

    Mbowe astuke amwachie Lisu Chadema bila Lisu kitapoteza mvuto na kuporomoka kisiasa
  2. M

    Watanzania ni 'low minded'?

    Tatizo ukiongelea siasa hasa siasa za kuikosoa serikali na chama chake unajiingiza kwenye matatizo na wachangiaji wengi hautapata maana kila mmoja anaona ni kujiingiza kwenye hatari. Kwahiyo wengi wanaona ni bora kujadili Simba na Yanga ni salama zaidi kuliko siasa.
  3. M

    Lissu: Kama Mbowe ametoa mabilioni kwenye chama aoneshe documents, hakuna fedha ya chama inayoweza kutumika bila nyaraka za kuthibitisha

    Lisu angetulia tu kuna maisha baada ya haya mambo, ni hatari kuendelea kujilimbikizia maadui mwili wenyewe umejaa vyuma tupu.
  4. M

    Kwanini tuabudie miungu ya wengine Mungu wetu yupi?

    Waisrel ndiyo hao Waafrika waleo wao walikimbia huko kwao na kukimbilia huku Afrika, Na leo Waafrika wanateseka kwasababu ya kutokujua kile wanacho kifuata maana kumbukumbu la torati 28, linasema "Mtaabudu miti na mawe na mtachukuliwa utumwani na huko mtatumikia miungu mingine"
  5. M

    Watu ambao mmekata tamaa nawapa njia hii ya uhakika ya kuzifungua njia zako .

    Haya mambo ni maraisi kuyaongelea ila ole wako yakikupata
  6. M

    Wanaume kweli wamewazidi mbali mno wanawake kwenye kuchangamana

    Mwanaume ndiyo Mtu -Binadamu Original tofauti na mwanamke yeye ametoka kwa huyo Mtu -Binadamu
  7. M

    Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

    Hii haikwepeke popote pale katika ulimwengu huu, kila taifa kuna circle inatawala kwa siri.
  8. M

    Hii controversial ya Mwanzo wa ulimwengu na Dunia, Je inawezekana ndio siri kuu iliyofichwa na Mungu, Ukitoa Kifo ?

    Tatizo wanasayansi wengi hawaamini kuhusu Mungu, mfano hapo kusema dunia ina umri wa miaka Bilions 4.5. pengine ukifatilia wapo nje ya biblia na hata tafiti zao ni kupotosha au kukana kama kuna Mungu, wao wapo na mlengo mwingine nk. Pengine kuna ukweli wanujua au nawenyewe wapo kutafuta majibu.
  9. M

    Wasomaji wa Biblia Kwanini shetani hakumgusa mke wa Ayubu

    Mkuu hili andiko la 1Kor ni kweli kila jaribu lana mlango wakutokea? maana kwangu naona milango yote imejifunga
Back
Top Bottom