kama kuna mtu mwenye kuuza laptop naomba tuwasiliane kwa sababu ninaihitaji kwa sasa. Nahitaji laptop isiyozidi laki 5 plz mwenye kuuza tuwasiliane 0684036259
kiukweli na wala sitanii kwa yeyote ambaye anauza laptop naomba tuwasiliane na anisaidie kuipata hiyo laptop,laptop iwe nzuri na yenye webcam. Kwa mawasiliano zaidi napatikana kwenye namba 0684036259
katika maandalizi yaa uundwaji wa katiba mpya suala la kuwepo au kutokuwepo kwa muungano limekuwa ni jambo ambalo linaleta mijadala mbalimbali kwa wananchi na viongozi.
Japo kuna mapungufu na changamoto mbalimbali kuuhusu muungano basi nia wakati sasa wa kufikiri ni namna gani ya kuuboresha...
Kiukweli kuna dada anatesa sana roho yangu na ninahisi kupoteza matumaini ya kuishi.
Ni mara chache sana kwa mutu kutokukata kwa kitu anachokihitaji lakini kwangu mimi nahisi kukata tamaa kabisa kwani jitihada zangu zinaelekea kugonga mwamba kwani furaha ya moyo wangu inapotea kwa huyu dada...
Sual la mpaka wa ziwa nyasa kati ya Tanzania na Malawi sasa linaweza leta sura tofauti na lisipofuatiliwa mgogoro kati ya nchi hizi mbili waweza ibuka na kuleta mtafariku katika nchi zote. Hivyo ni jukumu la viongozi wetu kuhakikisha kuwa suala hilo linasuluhishwa kwa namna yoyote. Je ni kitu...
Hii inchi yetu inakoelekea sijui kabisa na serikali naona tu inazidi kulifumbia macho sijui ina mpango gani maana hawa viongozi wetu wa dini hasa wa kikristo wamekuwa sasa wanaishi kwa mashaka na bila amani so serikali inatakiwa kulifuatilia hili suala hili kwa umakini zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.