Recent content by Masese

  1. M

    Naombeni mnishauri katika hili

    Hadithi hii, Yaani Wapangaji wamempa tu hizo pesa bila kukushirikisha? Umekubalije kwamba wamemlipa hiyo pesa?
  2. M

    Njia ipi ni sahihi kufikia uwepo wa Mungu na vipi unaweza kujifunza utukufu wake duniani

    Hayo madhehebu yameketwa na nani kama si Mzungu ntu wa DILI?
  3. M

    Jumanne nyeusi kwa Rais Samia inakuja

    She knows nothing regarding Interests
  4. M

    Kwa yeyote anayehusika na na D light

    Kwa hiyo hamfahamu aliyemuuzia? D Light wako sahihi, huyo ndugu yako yawezekana ni kibaka na ameiba hiyo simu. Kama hajaiba/hajauziwa simu ya wizi ampeleke aliyemwuuzia.
  5. M

    USHAURI: Mimi ni mwalimu nimepatwa na majaribu nashindwa nivuke vipi

    We mbwa mshukuru Mungu kwa kukupa hiyo Ajali. Yaani amekuepusha na mengi sana. Sasa hiyo miradi uliyotaka kufungua huko kwenu ungemuachia nani aisimamie?
  6. M

    Natafuta mtu wa kunishika mkono

    Kwa hiyo hiyo namba ya Simu Siyo yako, haijasajiliwa Kwa majina yako?
Back
Top Bottom