Mimi ni mwalimu P.A.Y.E yangu ni 11%.hivo mtoa maada naona umekurupuka bila kufanya utafiti.Tafuta mwalimu yeyote,au mtumishi wa umma uone salary slip yake ukokotoe utapata majibu.Acheni ushabiki enyi bavicha
Mwenye uwezo wa kufikiri hachagui chama anachagua mtu.Kilichopo sasa 2015,watu wanachukia jina CCM ila hawachukii watu walioko CCM.Think metaphysically,energise your perfrontal.
Kwa mjibu wa viongozi na wafuasi wa cdm ,kama lowasa angekuwa fisadi basi angekuwa kashafungwa.na wanakwenda mbali zaidi na kusema aliye na ushaidi kuwa lowasa ni fisadi auweke hadharani au aende mahakamani.kwa sababu hizo,hata chenge,mhongo,ngereja,tibaijuka,rostam,karamagi n.k sio mafisadi...
Mtaongea mengi na mtamtukana sana,lkn ukweli kwenye siasa za uwazi,uwajibikaji na uzalendo hakuna kama zzk inchi hii.kama unabisha kasome Jarida la Financial Times"25 africans to watch".kijana yuko vzr kisiasa ila tatizo wanacdm wengi hamtumii perfrontal lobe zenu vzr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.