Recent content by masele paul

  1. M

    Msaada wa kutoa harufu ya sigara kwenye gari

    Nunua ngozi ya ng'ombe uweke ndani ya gari utaenjoy
  2. M

    Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

    Dar madalali matapeli wengi gari ambalo mwenyewe anauza 3M dalali analiuza 9M na gari ni bovu halilingani na thamani ya fedha. Mwanza madalali hawana tamaa kama Dar
  3. M

    Kwa Tanzania kama pesa yako ni ya kuunga unga, usinunue gari zaidi ya Toyota, hii itakuhakikishia a good resale value

    Unamwelewesha hataki kuelewa kwa sababu amesoma lakini hakuelimika. Gari tofauti na Toyota zinaendelea kuongezeka lakini wanaturusisha nyuma watu kama hawa vijana wadogo wenye mawazo ya miaka ya 1877
  4. M

    Spare parts za Honda Crossroad

    Ulichukua gari gani Boss
  5. M

    Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Mitsubishi OUTLANDER ya mwaka 2008, seat 7, 4WD nitaipata kwa bei gani
  6. M

    Naomba kujuzwa uzuri wa hii Noah new shape

    Tatizo lake ni nini? Mtujuze ili tuwe na uelewa
  7. M

    Rais Magufuli: Kama umesoma 'private school' atakayekupa mkopo ni kichaa

    Sijajua kama Mhe analifikiria hili jambo sawa sawa. Kwani Wapo watu tunaishi nao wameshatumbukia kwenye umaskini kwa kusomesha watoto wao private, nia ya wazazi hawa haikuwa mbaya lakini sasa uchumi wao imeyumba ukisema hauwapi mkopo sababu tu walisoma private unawanyima haki hao watoto. Suala...
  8. M

    Kauli ya Ruth Mollel, utumishi wa umma Mei 2, 2018

    Ni wazi kuwa tunadanganywa kila kukicha. Waliahidi tukimaliza uhakiki tutaongeza mishahara. Sasa wameahidi tena. Hii ni serikali ya ahadi tu. Serikali ya kuomba kuaminiwa tu. Haya bhana tuendelee kumwamini.
  9. M

    Mei Mosi 2018: Rais Magufuli atapandisha Mishahara miradi mikubwa ya Serikali ikikamilika, Mwaka jana alinukuliwa Vibaya

    Wewe ni mnafiki mkubwa. Serikali zingine Zilikuwa zinawaongeza watumishi mishahara Zilikuwa hazifanyi maendeleo? Ninyi ndo mnaompotosha Rais
Back
Top Bottom