Dar madalali matapeli wengi gari ambalo mwenyewe anauza 3M dalali analiuza 9M na gari ni bovu halilingani na thamani ya fedha. Mwanza madalali hawana tamaa kama Dar
Unamwelewesha hataki kuelewa kwa sababu amesoma lakini hakuelimika. Gari tofauti na Toyota zinaendelea kuongezeka lakini wanaturusisha nyuma watu kama hawa vijana wadogo wenye mawazo ya miaka ya 1877
Sijajua kama Mhe analifikiria hili jambo sawa sawa. Kwani Wapo watu tunaishi nao wameshatumbukia kwenye umaskini kwa kusomesha watoto wao private, nia ya wazazi hawa haikuwa mbaya lakini sasa uchumi wao imeyumba ukisema hauwapi mkopo sababu tu walisoma private unawanyima haki hao watoto. Suala...
Ni wazi kuwa tunadanganywa kila kukicha. Waliahidi tukimaliza uhakiki tutaongeza mishahara. Sasa wameahidi tena. Hii ni serikali ya ahadi tu. Serikali ya kuomba kuaminiwa tu. Haya bhana tuendelee kumwamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.