Recent content by Masele Joe

  1. Masele Joe

    Msingi wa tofali vs msingi wa mawe

    Sasa kwa mfano mimi nipo Mwanza. Tripu ya mawe ya 4 cub ni kuanzia 50,000 hadi 65,000 kulingana na site ilipo. Naanzaje sasa kutumia msingi wa tofali sasa!!?. Kwanza gharama ya msingi wa tofali ni kubwa zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ni mwalimu Idara ya msingi katika Halmashauri ya wilaya ya MWANGA-KILIMANJARO.Anatafuta mwalimu wa kubadilishana nae kutoka wilaya za: MVOMERO, KILOSA, PWANI, KISARAWE KIBAHA na MKURANGA. CONT: 0786837718 na 0765731947
  3. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo MBEYA-MBOZI nije ILEMELA/NYAMAGANA au MORO-MANISPAA.Idara SEC. 0767 969292
  4. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    :llama:Njoo MBEYA-MBOZI aje ILEMELA/NYAMAGANA au MORO(Manispaa).Idara-Sekondari. 0767 969292 :welcome:
  5. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Yupo MBEYA-MBOZI,anataka kwenda Moro Manispaa au Ilemela/Nyamagana(MWANZA).Idara Sec. 0767969292.
  6. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu Idara ya MSINGI yupo wilaya ya ROMBO-KILIMANJARO.Anatafuta wa kubadilishana naye kutoka halmashauri yoyote DAR. AU wilaya yoyote katika mkoa wa PWANI isipokuwa wilaya ya MAFIA. Cont: 0755 449672
  7. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo MBEYA-MBOZI aje MWANZA(ILEMELA/NYAMAGANA) au MORO MANISPAA.Idara Sec. 0767 969292.
  8. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo MBEYA-MBOZI aje MORO MANISPAA.Idara ya Sekondari. 0767 969292
  9. Masele Joe

    Msaada ku-unlock Huawei modem e 173

    Tatizo ina interface tofauti,hapo kwenye instructions ya jinsi ya kuitumia ndo inakuwa issue mjomba.
  10. Masele Joe

    Msaada ku-unlock Huawei modem e 173

    Hiyo Huawei flasher inagoma kufunguka.Inaandika 'Can connect to server....bye bye'
  11. Masele Joe

    All huawei modem unlock firmware collection is here

    Hiyo ya E173 inagoma ku update.Nina huawei E173u-1
  12. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo MBEYA-MBOZI nije MORO MJINI.Idara-Secondary. CONT:0767 969292
  13. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jamaa yupo LUDEWA-NJOMBE.Anatafuta mwalimu wa kubadilishana nae kutoka wila ya MBOZI-idara ya Secondari. Bakshishi ya TSHS:300,000/= itatolewa kwa atakayekuwa tayari. Cont:0762 680654
  14. Masele Joe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Yupo MBEYA-MBOZI,anataka kwenda NYAMAGANA,ILEMELA,SENGEREMA au MORO MANISPAA.Idara SEC. 0767969292.
  15. Masele Joe

    Windows 8 Genuine 4ver Activation the right and not pirated way

    Mwenye key za windows 8.1 pro anisaidie pls.
Back
Top Bottom