Recent content by masause

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulitumia mbinu gani kumuondoa mwanamke aliyeng'ang"ania gheto?

    Mbona sipati zali kama lako mkuu
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi wa kuifaurahia Dunia pamoja

    Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, natafuta mwanamke serious ambaye twaweza kuwa wapenzi. Ninaishi Dar. Napenda huyo mwanamke awe na vigezo vifutavyo; Umri: 22-30 Elimu : yoyote Rangi : yoyote Location: :Dar Asiwe mwanafunzi wa chuo. Aliyeserious ani pm nitampa mawasiliano yangu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vitu gani kwa wengi ni vya kawaida ila kwako sio vya kawaida

    1_kunywa kahawa 2_kuvaa macheni shingoni 3_kucheza kamari 4_kuwa na marafiki wengi 5_kutongoza mademu wa kukutana nae mara moja tu ushamzoea na kumtongoza hizo tabiwa nimeshindwa kabisa
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano na huyu mwanamke siyaelewi kabisa, sielewi ananichukuliaje

    Wasiwasi wako ni nini mkuu Eendelea kumla tau
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yuko Bafuni Muda huu...

    ACHA UZINZI
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

    kwanini awe jasiri hivi kwani haoni kama we ndo pumziko lake ? yaani broo mkeo anakuita msumbufu ? ina maana haoni unavyotoka unatoka kwa ajili ya kumtafutia ? all in all kuna raha furani hivi kuona umerudi usiku nyumbani kwako unagonga mlango then mke ndo anakuja kukufungulia huku...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mume

    natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 25-28
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ni mkoa gani mzuri kwa kuanzia maisha from Zero?

    mwezi ulopita nilikuwa mkoani Iringa , nilipita maeneo mengi ya mjini na baadhi ya vijiji wilayani kilolo nikaanza kushawishika kuishi huko kutokana na mandhari na fursa tofauti tofauti zilizopo , kwanza kabisa ukifika maeneo ya iringa mjini utaona kuwa kuna hakuna wafanya...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    nawatafuta Alice pascal na Irene pascal mara ya mwisho kuonana ni 2013 dar
  10. M

    JamiiForums Tanzania Sheria inasemaje kwa mtu aliyeamua kujitoa uhai wake na kuacha ujumbe kisa cha yeye kuamua kujitoa uhai wake ni fulani?

    hata kama ukiweka sheria ya kipengele hiki itakuwa unajitekenya tu ...................imagine unakuta mtu kashajiua tayari halafu unamfungulia kesi mahakamani ! unamshitaki maiti?, hata kama ikiwekewa hukumu utaihukumu maiti?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sheria inasemaje kwa mtu aliyeamua kujitoa uhai wake na kuacha ujumbe kisa cha yeye kuamua kujitoa uhai wake ni fulani?

    hata kama ukiweka sheria ya kipengele hiki itakuwa unajitekenya tu ...................imagine unakuta mtu kashajiua tayari halafu unamfungulia kesi mahakamani ! unamshitaki maiti?, hata kama ikiwekewa hukumu utaihukumu maiti?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Dunia inahitaji watu creative kama huyu Masai Mtanzania ambaye kwa sasa ni star India

    ukiachilia mbali huko tiktok pia jamaa amekuwa maarufu na watu wanatumia umaarufu wake kwa kutangazia biashara zao ,hii inamfanya jamaa apate mkwanja pia
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    Ni moja kati ya mitaa ya kiswazi sana hapa temeke,nyumba nyingi za mtaa huo ni zile za miaka ya 70s,mitaa miwili baada ya mtaa huo ndo kuna mtaa maarurfu wa wauza utelezi,kukabwa ni jambo la kawaida sana ,mitaa ya jirani na mtaa huo ni MTONGANI,MAPUTO,DOUBLE KIBINI,CHAMPION na SOWETO
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi natafuta mchumba nipo serious

    Asiwe mchungu ??????
Back
Top Bottom