Recent content by Masapy

  1. Masapy

    Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona

    Wao wanajua bara letu ni dampo sio, na kosa kuwa na muhingiliano wa wageni ilibidi tusiwe na mgonjwa hata mmoja Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Masapy

    CHINA: Tupo tayari kuisaidia Marekani kupambana na Corona

    Sio vitu vya kuomba hivyo mkuu kwa huduma hizi zetu tutaondoka kwkweliii ni kumuomba mungu atufanyie wepesi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Masapy

    Nobel ya Amani 2019 yaenda Ethiopia huku Tanzania ya Magufuli ikiambulia patupu!!!

    Aende zake chato huko kwa wasukuma wenzake
  4. Masapy

    Mugabe was a selfish dictator who crushed anyone who crossed his path: Zimbabweans speak

    Mkuuu humu pia kuna watzd wasijua lugha ila samahani
  5. Masapy

    SADC na kiroja cha Uafrika

    Mambo gani hayo mkuu
  6. Masapy

    Nawapongeza sana Madaktari hawa wa Saudia Arabia, Mungu awabariki!

    Usiwe na chuki zisizo na kichwa wala miguu waliotenganishwa ni watz wenzio ila wangepelekwa india sio Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Masapy

    KOROSHO NGOMA NZITO: Wakulima Watinga ofisini kwa Mkuu wa Wilaya kudai malipo yao

    Ila ndege Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Masapy

    Saudi Arabia: Mbaroni kwa kuweka video mtandaoni akilishwa na mwanamke

    Mkuu kila nchi kuna sheria kanuni na tartibu zake wewe unaeishi kwa jiwe utajaza
  9. Masapy

    Waislam wasiotoa mikono ya salamu wanyimwa uraia Uswizi

    Dini yetu aina ujinga wowote isipokuwa wewe mchangiaji ndio mjinga'wako vizuri utamaduni wetu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Masapy

    Maandamano na ukatili unaofanyika South Africa sasa

    Subiri yakwenu tarehe 26 ila Sizonje kaaidi kuwa atavunja miguu ole wenu
  11. Masapy

    Tetesi: Vita kubwa kuibuka baina ya NA TO na Urusi?!!

    Uzushi huo mkuu kapitie tena
  12. Masapy

    Rais wa Syria akimbomoa mwandishi wa Marekani

    Ila kumbuka kilichotokea Libya lakini mkuuu na kinachoendelea kwa sasa kwa akili yako unadhani walibya awamkumbuki The former president Gaddafi, usiongee hivyo sio fresh
  13. Masapy

    Russia atangaza kuwa yeye ndiye mbabe wa kivita dunia nzima!!!

    Usituletee habari kavukavu, bring with vielelezo mkuuu please fanya upesi
Back
Top Bottom