Recent content by Masanja Mussa

  1. M

    Wakosoaji wa Serikali wanatumwa?

    Kivipi wasitekeleze mbona mnaigeuza nchi kuwa ya hoja za kinuha hivi.
  2. M

    Wakosoaji wa Serikali wanatumwa?

    Sasa kama ukweli unaujua juu ya madeni hayo ya kubumba na kiakili ndogo simyatoe, Ukitaka usiulizwe kasimamie mali za mke wako na wanao! Mliingia madarakani na ushamba wa kijijini Leo mnegeuza ofisi machinjio aibu yetu.
  3. M

    Baada ya kuachana na mambo ya dini ndio nagundua dini hupumbaza sana binadamu

    Masuala haya ya fikra huru na falsafa ni masuala ya kielimu na utambuzi. Suala la uwepo au kutokuwepo kwa mungu si vema likajadiliwa kiimani. Ni suala la sayansi ya kuwaza (scientifical thoughts) Baba wa fikra huru za kutoamini uwepo wa mungu, Hegelians, Wafasi wake wakiwemo kina Late...
  4. M

    Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

    Eti apigiwe kura mnajitoa ufahamu au stail ya kubembeleza ajira au makombo
  5. M

    Kupotea kwa Ben Saanane: Hoja za wananchi, kinachoendelea na maoni ya Waziri Mwigulu

    Soma vizuri utetezi wa waziri, tumpongeze ametimiza wajibu wake.
  6. M

    Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

    Acheni ushabiki wa kishamba hili ni suala la hatari.
  7. M

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Musenge Mukuma(barozi wa Zambia Tz)
  8. M

    Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

    Hofu kwa wenye uelewa finye kama nyinyi. Magu na vizabizabina anaowateuwa wanatulazimisha tutumie akili nusu Mbaya zaidi wasioelewa wanaojiamini kuwa wako sasa. Wamezungukwa na wasaka tonge Wakati utasema ila tutaumia sana
  9. M

    Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

    Kuna hoja za kujibu na muhimu ajibu. Ila pongezi kwa kujibu maswali unawajibika invyostahili. Ila kama historia yako ni mbaya kielimu hutaibadilisha iwe nzuri kwakuandika sana. Majibu yako mkuu yanaongeza maswali. Mimi kwa mtazamo wangu, tukushukuru kwa kutupatia muda wako adhimu kuongea na wewe.
  10. M

    Matokeo ya kidato cha pili ya mwanafunzi aliyeshambuliwa na walimu

    Walimu acheni kujiona miungu watu myafanyayo bila kufuata taratibu zenu za kazi ni mengi sana, huu na uwe mfano kwenu. Mwalimu aliyerekodi ni shujaa wa taifa. Huyu ni MTU wa pekee kwa mwaka. Mengi sana wamefanyiwa watoto wetu ikiwemo kuwapa mimba wanafunzi wao na ila hakuna anayethubutu kusema...
  11. M

    Kitendo cha kuita nchi majirani zako kuwa ni "vinchi" ni uungwana?!

    Lakuvunda halina ubani, Mkuu wa nchi diplomasia ziro. Mfundisheni sio kumpamba pale anapoharibu. Huyu jamaa tutasikia mengi ni shida. Hotuba zake ukiisukiliza unatamani ufutshe watoto shule.
  12. M

    Mapokezi ya Maalim Seif na Viongozi wa CUF yahairishwa baada ya viashairia vya fujo Buguruni

    CCM bwana Yani siasa yenu sasa ni lipumba. Matahira wa ajabu. Hivi naye huyu chizi lipumba anaona yuko sahihi sahihi kwa kshabikiwa na adui yako kisiasa?
Back
Top Bottom