Isaac Newton hakuwahi feli shule,alikua mwanafunzi bora sana,alisoma masaa 18 kwa siku na siku 7 kwa wiki,japo enzi hizo waliandika kwa mkono na kusambaza kwa magari ya farasi yy alikuwa na collection ya vitabu zaidi ya 1000,aliachana na mambo yote ya jamii na akajikita na elimu(ndo maana alikua...