Habari Tanzania !.
Nawaomba watanzania wenzangu tuamue kwa pamoja kuwa katika Sheria zetu hasa upande wa Jinai; tuondoe vifungo vya zaidi ya miaka 20 pamoja na kufuta kifungo cha maisha jela au kunyongwa mpaka kufa.
Uhalisia ni kuwa; hakuna aliyemkamilifu isipokuwa ni Mungu pekee. Ikumbukwe...
Habari za leo waungwana !.
Naomba kuwauliza; kwa hili jua letu hapa Tanzania hasa Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Lindi, Mwanza, Singida, Shinyanga na Dodoma hatuwezi kuwa na kiwanda cha vyombo vya moto vitakavyotoa huduma mikoa hiyo; ambavyo vitakuwa vinajiendesha kwa Sola !?..
NB
1. Mabasi ya...
Mambo Vijana Tanzania !.
Oooooh sasa hii sio ya kukosa; kikubwa ni mwendo wa kutembea na fursa.
Kwa wale vijana ambao wanajitafuta; hawajui wanaanzaje kutoboa sasa mzigo huu hapa nimeambatanisha kipepetushi toka Wizara ya Vijana.
Oya Kijana karibu sana.
Mshtue na mwenzio chap kwa haraka.
Ushamba wa hii dunia: hakuna mwenye kuhoji kwanini kuna siku 7 katika wiki. Masaa 24 kwa siku. Hawezi kuhoji mambo ambayo yapo nje na uwezo wake.
Upumbavu ni kipimo kizuri na haki ya kila mmoja mwenye kuhisi ana hekima ya jambo asilolijua.
Habari Tanzania !..
Naomba wananchi tuamue na tuanzishe utamaduni maalumu; kwa kila kiongozi wa Taifa wawe wanatembea kwa miguu kutoka mahali wanakoishi kwenda Ofisini na kurudi nyumbani kila wiki ya mwisho wa mwezi. Yaani Jumatatu mpaka Jumapili.
Faida
1. Hii itawawezesha kupata uzoefu wa...
Hata mimi sina ubinafsi na uchoyo wa mawazo. Nimependa kukupa mtazamo wangu hasa katika jambo hili.
Biashara huanzishwa kwa fedha ya ziada nje na mifumo yako ilivyo. Jamii yetu imejiaminisha kuwa mitaji biashara lazima uanze kidogo kidogo sijui haya mawazo wameyatoa wapi?.
Uzuri hujafungwa kwenye jambo lolote. Unaweza nawe kusimama kama mwanajamii kusaidia au kuchukua faida kwa kuwawezesha vijana kimitaji. Nahisi hii ni sawa kwako.
Asante.
Brother karne ya 21 unataka kuona kiwanda eneo au namna ya uzalishaji !?.
Tatizo unagonganisha mawazo. Kuna kuanzisha biashara na kufanya biashara. Hii ni mambo kubwa sana ni ile basi wabongo tuna mambo zetu.
Ni miongoni mwa fedha zako; ulizowapa dhamana wanajamii wenzako kusimama kwa niaba ya kundi la wananchi; ndio watoazo hizo fedha kama sehemu ya kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.