Hizo mashine ni zakawaida sana. Bongo hii hakuna hizo Heavy Duty Rice Mill brother. Zilizopo nyingi haziwezi kuhudumia hata tani 5 mpaka 10 kwa siku. Mimi nazungumzia ni heavy weight machine brother hapa bongo.
Leo hii Mchele tunapimia kwa mokopo na maeneo mengine wanatumia mizani. Leo hii kweli miaka 65 ya Uhuru vyakula tunapimia kwa mizani!?... alafu tunaona sawa.
Hayo mambo ndio yanayotakiwa.
Hii nchi wakulima ni 80 (Viongozi wa nchi, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Wananchi wa kawaida). Cha ajabu hakuna mchocheo wowote eti.
Habari Tanzania !...
Kwanini hatuna kiwanda cha kuchakata mpunga kuwa mchele yaani ile Heavy Rice Mill ambazo aidha ziwe kikanda au kimikoa. Hapa nachochea hali ya kuwa na uwezo wa soko kubwa na upatikanaji wa bidhaa kirahisi na bei za mchele uwe kitonga.
1. Ajira za moja kwa moja zitakuwa...
Haaaaaaaaahaaaaaaaaa !..
Hii unaweza kuifanya kwa kujirudia au kuiendeleza ikawa bora kweli !?.. Huoni utakuwa na wewe kama wale jamaa wa "Network Marketing" kweli!?..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.