Recent content by Masalu Jacob

  1. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Tanzania nzima: Tuanzishe kampeni ya kilimo cha mboga mboga majumbani iwe milele

    Habari Tanzania !... Natamani leo hii tungekuwa na utaratibu wa kila kaya iwe na utamaduni wa kulima mboga mboga yaani iwe utamaduni wa Tanzania nzima. Hata kama mtu au familia yake sio wapenzi wa matumizi ya mboga mboga za majani hiyo sio tatizo ila lazima aishi huo utamaduni. Leo hii...
  2. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Ubongo wako unaweza kujifunza kitu chochote kile ukikifanyia mazoezi kila siku

    Karibuni tusome Biblia mstari kwa mstari. Huu ndio mwanzo mpya.
  3. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Katika kitu kimebakia kama nchi tunachojivunia ni hichi tuu

    Hayo mabia magumu ndoga inacheza sana.
  4. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Katika kitu kimebakia kama nchi tunachojivunia ni hichi tuu

    Hmm !.. Je, Castle mtoto!?...
  5. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Mungu alimfanya mtu? au alimuumba mtu? Embu fafanua (mwanzo 1;26

    Isaya 46:9-10 9 kumbukeni mambo ya zamani za kale; maana mimi ni Mungu, wala hapana mwingine; mimi ni Mungu, wala hapana aliye kama mimi; 10 nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, Shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote...
  6. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Mimi fursa naiona kwako bwasheee
  7. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Hizo mashine ni zakawaida sana. Bongo hii hakuna hizo Heavy Duty Rice Mill brother. Zilizopo nyingi haziwezi kuhudumia hata tani 5 mpaka 10 kwa siku. Mimi nazungumzia ni heavy weight machine brother hapa bongo.
  8. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Nimekuelewa wazo lako. Nia yangu haimo kwenye ushindani na wewe.
  9. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Ugumu unao wewe. Nenda shule tena.
  10. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Leo hii Mchele tunapimia kwa mokopo na maeneo mengine wanatumia mizani. Leo hii kweli miaka 65 ya Uhuru vyakula tunapimia kwa mizani!?... alafu tunaona sawa.
  11. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Hayo mambo ndio yanayotakiwa. Hii nchi wakulima ni 80 (Viongozi wa nchi, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Wananchi wa kawaida). Cha ajabu hakuna mchocheo wowote eti.
  12. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Habari Tanzania !... Kwanini hatuna kiwanda cha kuchakata mpunga kuwa mchele yaani ile Heavy Rice Mill ambazo aidha ziwe kikanda au kimikoa. Hapa nachochea hali ya kuwa na uwezo wa soko kubwa na upatikanaji wa bidhaa kirahisi na bei za mchele uwe kitonga. 1. Ajira za moja kwa moja zitakuwa...
  13. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Nimefurahi sana kwa namna wazo lako linavyogusa watu. Uendelee kubarikiwa siku zote.
  14. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Yerewiiiii !.. Ariiikha. Bwashee upo mbali sana.
  15. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Ndio uniambie hiyo biashara sasa unayoweza ifanya Shem!?. Usilalamike.
Back
Top Bottom