Recent content by Masalu Jacob

  1. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Mimi fursa naiona kwako bwasheee
  2. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Hizo mashine ni zakawaida sana. Bongo hii hakuna hizo Heavy Duty Rice Mill brother. Zilizopo nyingi haziwezi kuhudumia hata tani 5 mpaka 10 kwa siku. Mimi nazungumzia ni heavy weight machine brother hapa bongo.
  3. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Nimekuelewa wazo lako. Nia yangu haimo kwenye ushindani na wewe.
  4. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Ugumu unao wewe. Nenda shule tena.
  5. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Leo hii Mchele tunapimia kwa mokopo na maeneo mengine wanatumia mizani. Leo hii kweli miaka 65 ya Uhuru vyakula tunapimia kwa mizani!?... alafu tunaona sawa.
  6. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Hayo mambo ndio yanayotakiwa. Hii nchi wakulima ni 80 (Viongozi wa nchi, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Wananchi wa kawaida). Cha ajabu hakuna mchocheo wowote eti.
  7. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha mchele

    Habari Tanzania !... Kwanini hatuna kiwanda cha kuchakata mpunga kuwa mchele yaani ile Heavy Rice Mill ambazo aidha ziwe kikanda au kimikoa. Hapa nachochea hali ya kuwa na uwezo wa soko kubwa na upatikanaji wa bidhaa kirahisi na bei za mchele uwe kitonga. 1. Ajira za moja kwa moja zitakuwa...
  8. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Nimefurahi sana kwa namna wazo lako linavyogusa watu. Uendelee kubarikiwa siku zote.
  9. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Yerewiiiii !.. Ariiikha. Bwashee upo mbali sana.
  10. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Ndio uniambie hiyo biashara sasa unayoweza ifanya Shem!?. Usilalamike.
  11. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Pole sana. Ila upo mwanzo kutokana na mazingira yako kabisa na ukaweza. Niamini.
  12. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Haaaaaaaahaaaaaaaa !.. Itakubidi uweke treni refu sana. Uhakika sasa wa kutoboa ni kipengere. Sasa hii itaweza kuwa endelevu Shem !?..
  13. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Haaaaaaaaahaaaaaaaaa !.. Hii unaweza kuifanya kwa kujirudia au kuiendeleza ikawa bora kweli !?.. Huoni utakuwa na wewe kama wale jamaa wa "Network Marketing" kweli!?..
  14. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Maweee !. Kwanini teknolojia kwa Mhindi na sio nje yake !?..
  15. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Je, maelezo haiwezi kuwa ngumu na uhalisia ukawa kweli !?..
Back
Top Bottom