Recent content by Masalu Jacob

  1. Masalu Jacob

    PASSOVER (Wayahudi) VS PASAKA (Wakristo) VS Kutokula Nyama

    Maana ya Pasaka AGANO LA KALE: Pasaka ni kutolewa utumwani (Misri) kupelekwa kwenye ahadi (Kaanani). AGANO JIPYA: Pasaka ni hali ya kutolewa kwenye mauti ya kiroho (Israeli ya kiroho/Ukristo wa kwanza) kwenda uzimani (Israeli mpya ya kiroho/ Ukristo wa pili/mpya). Elimika sasa mpenzi.
  2. Masalu Jacob

    Bei ya wese - Halmashauri toeni Ruzuku kwenye (Petrol & Diesel) kwenye Wilaya zenu

    Habari Tanzania !. Hii ni chemsha bongo. Naziomba Halmashauri zote hapa nchini wafanye maamuzi waonavyo kulingana na uwezo wao kuweka ruzuku kwenye (Petrol & Diesel) ili kuimudu mfumuko wa bidhaa hizo kwenye maeneo yao. Maana hatari kuu itawapa mtake msitake mtakapokuwa mnataka kukusanya...
  3. Masalu Jacob

    Mkojo wa binadamu ni chanzo cha nishati ya Umeme majumbani na inaendesha vyombo vya moto

    Habari Tanzania !.. Habari yako EWURA, TANESCO, REA, Ofisi ya Rais, Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira hali gani mpendwa !?.. Je, wajua kuwa mkojo wa binadamu unaweza kuchakatwa na kutoa nishati ya Umeme majumbani, viwandani na pia kuendeshea vyombo vya moto...
  4. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Kama wao wanahisi gharama; watoe kibali au vibali alafu tuwape show hakuna shida; kila mtu atakuwa na chakujifunza.
  5. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Hao wanaouza mitungi mfano ORXY, MANJI, MIHAN, TOTAL ENERGY, TAIFA GESI wao wanatoa wapi hizo gesi kwenye mitungi yao afande !?.
  6. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Supplier wa LPG kwani wao wanazitoa wapi hizo mitungi zikiwa na Gesi; na wanazifikishaje kwa wananchi!?. Brother, hii ni akili sana. Hoja yangu, ni kufanya mabadiliko kwa kuongeza ufanisi na kuacha njia za kizamani ndugu. Ipo hivi: panajengwa tank kubwa la kawaida mtaani. Wananchi wanafungiwa...
  7. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Achana nayo. Mimi nimezungumzia Gesi hii hii ambayo wewe unaitumia sasa hapo nyumbani inafanyiwa mabadiliko kiusafirishaji badala ya kuwa kwenye tank dogo kama sasa; inakuwa mpira sasa shida ipo wapi wapendwa !?.
  8. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Brother, hapa nazungumzia supply sio hizo mbaga nyingine ndio maana nikasema panakuwa na PPP (Public Private Partnership). Ukumbuke Serikali ndio mjenzi wa miundombinu ya Gas sababu ana interest na umma moja kwa moja upo. Kwani hiyo Gesi hapo nyumbani wanaokuuzia wana mitaji ya US Dollar ($)...
  9. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Sorry ! Hiyo uliyoisema ni Natural Gas na sio mfanano na gesi unayoitumia sasa wewe nyumbani kumbuka hilo.
  10. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Kwa mtaji wa 2.5m mtu ashindwe huu uwekezaji; mpaka ajipeleke huko kwenye makuku buraza !?.
  11. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Inawezekana Kaka. Japo njia za bomba hasa gesi zinataka utaalamu; ila zinawezekana. Serikali waniite tukae chini tufanye biashara tufanye PPP (Wao wajenge tank na mipira; mimi na wanangu tuwauzie wananchi huduma). Mbona easy sana.
  12. Masalu Jacob

    Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Vijana hii ni bonge moja la fursa aisee. Hapo mtaani kwako unapiga hela vibaya mno. Si watuamini wabongo jamani tunaweza.
Back
Top Bottom