Maana ya Pasaka
AGANO LA KALE: Pasaka ni kutolewa utumwani (Misri) kupelekwa kwenye ahadi (Kaanani).
AGANO JIPYA: Pasaka ni hali ya kutolewa kwenye mauti ya kiroho (Israeli ya kiroho/Ukristo wa kwanza) kwenda uzimani (Israeli mpya ya kiroho/ Ukristo wa pili/mpya).
Elimika sasa mpenzi.
Habari Tanzania !.
Hii ni chemsha bongo.
Naziomba Halmashauri zote hapa nchini wafanye maamuzi waonavyo kulingana na uwezo wao kuweka ruzuku kwenye (Petrol & Diesel) ili kuimudu mfumuko wa bidhaa hizo kwenye maeneo yao. Maana hatari kuu itawapa mtake msitake mtakapokuwa mnataka kukusanya...
Habari Tanzania !..
Habari yako EWURA, TANESCO, REA, Ofisi ya Rais, Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira hali gani mpendwa !?..
Je, wajua kuwa mkojo wa binadamu unaweza kuchakatwa na kutoa nishati ya Umeme majumbani, viwandani na pia kuendeshea vyombo vya moto...
Supplier wa LPG kwani wao wanazitoa wapi hizo mitungi zikiwa na Gesi; na wanazifikishaje kwa wananchi!?.
Brother, hii ni akili sana.
Hoja yangu, ni kufanya mabadiliko kwa kuongeza ufanisi na kuacha njia za kizamani ndugu.
Ipo hivi: panajengwa tank kubwa la kawaida mtaani. Wananchi wanafungiwa...
Achana nayo. Mimi nimezungumzia Gesi hii hii ambayo wewe unaitumia sasa hapo nyumbani inafanyiwa mabadiliko kiusafirishaji badala ya kuwa kwenye tank dogo kama sasa; inakuwa mpira sasa shida ipo wapi wapendwa !?.
Brother, hapa nazungumzia supply sio hizo mbaga nyingine ndio maana nikasema panakuwa na PPP (Public Private Partnership). Ukumbuke Serikali ndio mjenzi wa miundombinu ya Gas sababu ana interest na umma moja kwa moja upo.
Kwani hiyo Gesi hapo nyumbani wanaokuuzia wana mitaji ya US Dollar ($)...
Inawezekana Kaka. Japo njia za bomba hasa gesi zinataka utaalamu; ila zinawezekana. Serikali waniite tukae chini tufanye biashara tufanye PPP (Wao wajenge tank na mipira; mimi na wanangu tuwauzie wananchi huduma). Mbona easy sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.