Recent content by Masala kolangwa

  1. M

    Msaada: Siwezi kupata access ya WhatsApp account yangu

    Asante,ila kubadili simu ni kipengele ndugu yangu.
  2. M

    Msaada: Siwezi kupata access ya WhatsApp account yangu

    Habari wakuu, nimepata changamoto baada ya kuinstall whatsapp kutoka playstore. Na ni official application ila inaniandikia hivi. Sasa wakuu naombeni msaada wenu. Na hata nikienda kwenye hiyo website yao, nikipakua app inaniletea taarifa hiyo hiyo.
Back
Top Bottom