Recent content by MaryGeorge

  1. M

    Hizi ndizo hoja dhaifu zinazotolewa dhidi ya ACT-Wazalendo

    Hiki kibonzo kinatoa picha na ujumbe mzito sana. kuna vitu viwili: 1.Kopo kuisha dawa na kurushiwa kwenye moto, maana moto ni mkubwa sana 2. Aliyeshika kopo kuchoka kabla ya spray kuisha na kuamua kulitupia kopo kwenye moto likiwa Bado na spray
  2. M

    Jukwaa la Wahariri wakalishwa Bagamoyo na Rugemalila, wahongwa 600,000 kila mmoja

    Hapo kwenye bolded name "Richard" pamekosewa ni "Patrick"
  3. M

    Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

    How does CHADEMA come in here?
  4. M

    Swali la Kioperesheni: Mafanikio ya M4C-OPD Yatapimwa Vipi?

    Mara nyingi shughuli zenye Malengo inapofikia Muda wa kufanya upimaji kitu cha kwanza kinachoangaliwa ni Kama Malengo yamefikiwa, sasa upimaji wa mafanikio unaweza Kuwa wenye kupenda kupata Matokeo ya Muda mfupi, wa Kati au Muda mrefu. Operesheni hii inaweza kutoa Matokeo ya aina tofauti, ingawa...
  5. M

    Jukwaa la Katiba, Jukwaa la Upinzani?

    Kumbe ametekeleza familia??? hii kali...labda laana zinamsumbua sasa...
  6. M

    Jukwaa la Katiba, Jukwaa la Upinzani?

    haahahahahahahaha! mbavu zangu mie!
  7. M

    Only In Tanzania Wabunge 46 Wanaweza Kuwa na Mandate ya Wananchi Over Wabunge 280!!

    Mh! sala zinahitajika za nguvu, kama mtu unaweza kupoteza muda kuandika kitu kama hiki ili watu wachangie? haina hata haja ya kumtukana huyu mtu wala kumkebehi rather ni vyema watu wakamuombea anahitaji sana sala, mnooo! its very sad...
  8. M

    Malipo ya Tiba Muhimbili sasa ni kupitia NMB

    Na nikilipia halafu bahati mbaya daktari niliyepangiwa kumuona apate dharura na asinione inakuwaje? watarudisha pesa yangu ama?
  9. M

    Press Release Leo: Serikali Isitishe Mara Moja Ujenzi wa Bomba la Gesi kwenda Dar- Wana Mtwara

    Best analysis! Hongera KWa Kuwa mzalendo wa ukweli.
  10. M

    Mmejitahidi sana sana kumtetea BABU (Dr. Slaa), lakini...

    Mwombeeni kwa mungu anahitaji sana sala zenu, kuwa katika cheo kama alicho nacho na kuwa na moyo mgumu usio na upendo hata kwa ndugu zako walio kijijini wanateseka na hali duni ya maisha na bado unakuwa umekakamaa kulinda na kutetea madhambi...kwa kweli si kitu kidogo, kinahitaji maono ya ajabu...
  11. M

    Tutaajiri Makatibu CHADEMA nchi nzima-Dr Slaa

    Another funny and sad comment - hizi comments sidhani kama zinapaswa kutoka kwa mtu kama wewe, its so dissapointing kwa mtu ambaye watu wengine wangepaswa kumuona ni role-model wao anakuwa na comments za namna hii. Its a shame, if i were you, ningebaki kusoma tu comments bila kupoteza muda wa...
  12. M

    Tutaajiri Makatibu CHADEMA nchi nzima-Dr Slaa

    Are you for real???? hizi comments sidhani kama zinapaswa kutoka kwa mtu kama wewe, its so dissapointing kwa mtu ambaye watu wengine wangepaswa kumuona ni role-model wao anakuwa na comments za namna hii. Its a shame, if i were you, ningebaki kusoma tu comments bila kupoteza muda wa kujibu...
  13. M

    Eng Stella Manyanya: CHADEMA Wanahusika na mgomo wa madaktari; amfananisha Ulimboka na Hitler

    Where is the connection here with the main Topic? - why dont you start looking for photos za Mh. Malecela na Mke wake, Mh Sitta na Mke wake, Watoto wote wa viongozi wa chama waliopo bungeni kwa kiti hicho hicho kinachotawala etc etc...dont be biased! na zaidi jaribu kuwa na hekima unapochangia...
  14. M

    Mzee Wassira shule yako dawa tosha!

    Laana ya watanzania maskini at its best! - endelea tu na maneno yako, bahati nzuri Mungu huwa halali na sala za watanzania zinaendelea, ipo siku utarudi kumeza maneno yako. Ubarikiwe sana...
Back
Top Bottom