Samahani mzizi mkavu kuna ndugu yangu anasumbuliwa na fangasi na ni mjamzito kama miezi mi 5 je anaweza 2mia hiyo dawa ya kitunguu swaumu haitokuwa na tatizo lolote? Nisaidie mkuu
Ndugu ni bora ukaenda 2 zen maswala mengne utaelewana nao ukifika coz ikishafika mwisho wa kuripoti hawapokeag wa2 kwel bt kam itashndikana kabysa nitakupa no ya mkufuz wa pale
Cheti awali ni elimu inayotolewa inayohusika na watoto wadogo yan nursery halafu cheti kawaida ni elimu inayotolewa kwa watakaoenda kufundisha shule za msingi yan primary! Aliyeuliza ilo ndo jibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.