Recent content by Mary Assey

  1. M

    Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    safi sana waache wanaoendelea kufikiria mbinu za kurudisha nyuma mabadiliko waumbuke. PAMOJA TUNAWEZA!
  2. M

    Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    safi sana waache wanaoendelea kufikiria mbinu za kurudisha nyuma mabadiliko waimbuke. PAMOJA TUNAWEZA!
  3. M

    Vurugu Kinondoni, Dar: Mabomu yatumika kutuliza ghasia

    Na wapigwe tuu maana hakuna namna nyingine.
  4. M

    GE2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

    Mabadiliko hayazuiliki hata iweje... Tumechoka na serikali ya CCM, hawana jipya. Hata ajiuzulu nani sisi tutasonga mbele! wakati uliokubalika ni sasa.
  5. M

    Namshangaa Magufuli, anavyo fananisha mabadiliko ya Tanzania na yale ya Libya

    Dah kweli hoi angalia hata kwenye hii mada hakuna gamba hata moja limechangia. UKAWA mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma.
  6. M

    UKAWA wazuiwa kufanya mkutano Jangwani na Uwanja wa Taifa

    Dah kweli hii sio haki kabisa. Wanazidi kuipandisha chati UKAWA.
  7. M

    Kwanini nashabikia mapinduzi ya UKAWA

    Jamani kweli tunahitaji mabadiliko, mimi ni mwalimu niliajiriwa tangu mwezi wa tano na serikali mpaka leo sijapata mshahara wala pesa ya kujikimu. Kituo cha kazi ni mbali na nyumbani nauli ni sh. 45000/= ilibidi likizo ya mwezi wa sita nibaki shuleni maana sikuwa na nauli ya kurudi nyumbani...
  8. M

    Serikali yashindwa kuwalipa madaktari na wafamasia wapya wanaokwenda mafunzo ya matazamio(internship

    Dah kweli hii ndio Tz iliyojaa kila aina ya madini, vivutio vya watalii vya kutosha, mito na maziwa kila kona, bahari na vingine vingi, lakini vimekuwa vya kuwanufaisha watu wachache na wale maskini waliokopa au kuweka vitu vyao na wazazi wao rehani ili wapate elimu angalau waje wakomboe familia...
  9. M

    WanaCCM wote waoga na ndio mzee!

    Mimi binafsi naichukia sana serikali ya CCM siyo kwa ajili ya kutotimiza ahadi zao tuu, ni pale ambapo wanapoona watu wanadai haki zao za msingi kabisa wako radhi kuhatarisha uhai au kuutoa kabisa. Nikikumbuka walichomfanyia Dr. Ulimboka sina hamu na nitaomba Mungu usiku na mchana kwa kupitia...
  10. M

    Lowassa: Makapi yanayoihenyesha CCM

    Ukisikia photoshop ndio hii ya CCM sasa!
  11. M

    Monduli Vs Chato kimaendeleo kwa ujumla wake!

    Wito wangu ni kumchagua Lowassa kwa nia moja kwamba tutapiga teke umaskini ambao unatusakama hali tukiwa na rasilimali nyingi kuliko nchi yeyote ya Afrika Mashariki.
  12. M

    Monduli Vs Chato kimaendeleo kwa ujumla wake!

    Asante sana mleta mada. Kwanza Monduli hakuna shule za kata, shule zote ni bweni, pili kuna hospitali kubwa, nzuri na huduma safi kuliko ya mkoa (mt. meru) , tatu barabara ni lami, nne ardhi ya monduli ni kame (hakuna mto wala ziwa wala bahari) ila ametoa maji Meru ambapo wanaoishi meru hawana...
  13. M

    Ananilea Nkya: Lowassa kafara CCM kujaribu kuzuia mabadiliko

    Huwa naogopa sana kusoma makala ndefu ila hii nimeisoma yote hadi natamani kurudia. Big up mama Nkya, you are real a great thinker!
  14. M

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Ha ha ha! mleta uzi kaa chonjo. fikiria jinsi ya kuzika CCM yako 26. oct. hakuna namna nyingine. Tumechokaaaaaaaaaaaaa!
  15. M

    Nsanzugwanko adanganya fomu za uteuzi

    Angalia hawa maccm walivyo kuwa mabwege hata siku ya kuzaliwa hajui sasa huyu akienda bungeni si atakuwa analala tu nakujambaa kwenye viti vyakuzunguka tu kweli jamani ccm wacha wafe tuuui
Back
Top Bottom