Jamani kweli tunahitaji mabadiliko, mimi ni mwalimu niliajiriwa tangu mwezi wa tano na serikali mpaka leo sijapata mshahara wala pesa ya kujikimu. Kituo cha kazi ni mbali na nyumbani nauli ni sh. 45000/= ilibidi likizo ya mwezi wa sita nibaki shuleni maana sikuwa na nauli ya kurudi nyumbani...
Dah kweli hii ndio Tz iliyojaa kila aina ya madini, vivutio vya watalii vya kutosha, mito na maziwa kila kona, bahari na vingine vingi, lakini vimekuwa vya kuwanufaisha watu wachache na wale maskini waliokopa au kuweka vitu vyao na wazazi wao rehani ili wapate elimu angalau waje wakomboe familia...
Mimi binafsi naichukia sana serikali ya CCM siyo kwa ajili ya kutotimiza ahadi zao tuu, ni pale ambapo wanapoona watu wanadai haki zao za msingi kabisa wako radhi kuhatarisha uhai au kuutoa kabisa. Nikikumbuka walichomfanyia Dr. Ulimboka sina hamu na nitaomba Mungu usiku na mchana kwa kupitia...
Wito wangu ni kumchagua Lowassa kwa nia moja kwamba tutapiga teke umaskini ambao unatusakama hali tukiwa na rasilimali nyingi kuliko nchi yeyote ya Afrika Mashariki.
Asante sana mleta mada. Kwanza Monduli hakuna shule za kata, shule zote ni bweni, pili kuna hospitali kubwa, nzuri na huduma safi kuliko ya mkoa (mt. meru) , tatu barabara ni lami, nne ardhi ya monduli ni kame (hakuna mto wala ziwa wala bahari) ila ametoa maji Meru ambapo wanaoishi meru hawana...
Angalia hawa maccm walivyo kuwa mabwege hata siku ya kuzaliwa hajui sasa huyu akienda bungeni si atakuwa analala tu nakujambaa kwenye viti vyakuzunguka tu kweli jamani ccm wacha wafe tuuui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.