Mh lakn jamn sup 4 n masome manne tena walimu tofaut au huyo lectuer aanafundsha yote!!!am doubting!!!bt me pia n mwanafunz wa chuo waschana wanajipeleka wenyew so wanategemea nn?kma umefanyiwa hvyo appeal!!wasichana acheni tabia hyo!!
Habari zenu ndugu mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza certificate ya business administration mwaka huu ila hali ya maisha imekuwa ngumu sitaweza kuendelea mpaka mambo yatakapo kaa sawa naomba mwenye kuguswa naomba mnisaiidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.