Watu wana compare kabosa mitihano ya sekondari na ya udaktari dah hii nchi hii[emoji119]. Watu waelewe Mtu mpaka anamaliza internship anakua amefundishwa na wataalamu wengi sn sio tu lecturer,sio tu Daktari wa hospitali za kupractice baada ya darasani, na sio tu Dajtari bingwa wa magonjwa na...
Ungekua umeuona huo mtihani,namna ya kujib na hta idad na namna ya maswali yanavyoulizwa sku zote majib yatatofautiana kutokana na level ya Hospital mtu aliyofanyia internship. Braza ni ngumu kuelewa kwa kuandka hapa ila kiuhalisia mtihani huo sio standard ya kusema ndo I decide miaka sita ya...
Mm sijapinga mtihani ila nasema bado sio kigezo sahihi. Unadhan kutibu ni kufanya mtihan tu? Inategemea na exposures pia. Ushaona mtihani huo maswali yake? Unajua yamebase wap? Level ya hospitali husika? Decision-making ya kujib swali husika unaeielewa kua inadepend na mambo meng?
Yan unalinganisha form 4 na chuo cha afya em acha hzo ww. Hapa ni mkufunzi wa hali ya juu anatumika,mwanafunzi pia na yeye anajiadjust kila miaka ili kutoka kuwa kwenye vitabu na kuwa na clinical skills
Hayo mabaraza mengine yana pre internship na post internship exams? Kwa hyo na ww unaona ni sawa mtihani wa masaa 3 tena wa kuandika ndo utoe hatma ya miaka 6 ya masomo na utarajali? Haipo sawa popote pale duniani
Miaka mi5 ya Medical school halafu mmoja wa internship halafu mtihani wa masaa ma3 unaamua hatma ya mtu hyu dah sometimes tukubali kuna mambo hayakuwekwa sawa. Hivyo kwa kunyima leseni na yeye kukaa nyumbani ndo kunamuongezea uwezo? Hapana
Possibly ni kwel tatzo la Ini,matibabu yake angeyapata muhimbili ingekua vizuri zaidi,ila aanzie hospitali ya mkoa kama amana au temeke then aombe rufaa kwenda Muhimbili. Hapo gharama pia zitapungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.