Recent content by martin mwambene

  1. M

    Msaada kununua umeme TANESCO Luku ( mita mpya)

    Pole sana! Lkn ni vyema kupata uhakika kama mita yako ilishaingizwa ktk system ktk ofisi za TANESCO. Bila hivyo ni sawa na kusema kuwa bado hujatambulika kama mteja, na nikushauri usiendelee kujaribu kununua ktk njia hizo kwa mara ya kwanza zaidi ya vituo vya tanesco
  2. M

    UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)

    kuweka kituo cha kuzalisha umeme mikoa ya LINDI nA Mtwara,na kujenga transmission line itakayoingia katika gridi ya taifa ingepunguza gharama kubwa hata kama line ingeanzia kusini kuja dsm,tatizo hapa watakuambia kuna matumizi ya ziada kama viwanda na majumabani.All in all kama angalizo isije...
  3. M

    Nilitaka kumuua mke na mtoto wa 'my best friend' kwa risasi!

    sasa mjeda hako kajibu si ungekamalizia hapo tu,kwani unatumia kurasa gani kamanda...?
  4. M

    Laki nne anasema ni ndogo kwake na haimtoshi,hataki kazi hii,hii imekaaje ndugu??

    Inaweza kuwa ndogo kwa maisha ya sasa na majukumu anayotarajia kuwa nayo,ni vyema akakubali na aendelee kutafuta kazi nyingine kwani ni bora kupata kidogo kuliko kutopata chochote
Back
Top Bottom