Naanza kupata ufahamu kuhusu tuhuma za galanos kidogokidogo. Aache kushangaa TBC chombo cha habari cha taifa ambacho kinaendeshwa na kodi zetu anakuja kushangaa magazeti yanayoandika anachosema mhusika!! Sasa kama lowassa alisema MSIOGOPE yeye alitaka waandishi waandike nini? Kama hii ndio aina...
Nakuunga mkono asilimia mia moja! labda kupiga kwao makofi kulimfanya Dr akajua hapa hamna kitu ndio maana alikuwa anawananga kabla ya kujibu maswali yao.Dr namuona kama mtu wa hovyo sana ambaye sijapata kuona Tanzania na duniani kote.
Siasa za nchi yetu ni siasa za maji taka! Sikuelewa ana manisha nini haswa.Kama suala ni kusema na kukanusha yaliyokuwa yanasemwa juu yake masuala ya kuongelea watu na kutoa rundo la makaratasi linatoka wapi? Hapa kuna kitu na muda utatuambia tu!Nimeamini hata viongozi wetu wa dini ambao...
Siasa ni karata Usifanye majumuisho! tuliza akili hadi tarehe 24 oct utaujua ukweli! huo ni upande mmoja subiri upande wa pili utajikuta tareh 25 oct unalo jibu sahii.
Teddy samahani sijui unatumia kigezo gani kusema yamefanyika makosa, hamna makosa kwa kuwa kupokea wanachama wapya na kuwapa nafasi si kosa! Vikao halali vilikaa na akiwemo Dr na wakakubaliana kwa pamoja kuwa wampokee na kumbuka hapo ni baada ya vikao vya chama kumuuliza maswali Lowassa na...
Dr slaa alikuja akakikuta chama na hata akiamua kuondoka atakiacha chama kikiendelea! Chama sio kikundi cha biashara mtu akijiondoa na mtaji wake biashara inakufa. Walikuwepo kina mtei na bob makani na walipostafu chama kiliendelea kuwepo, walikuwepo kaburu, zito, na wengine wengi tu na...
Sitta kama sijakosea ni mwanasheria aliehitimu kutoka Chuo kikuu huria cha Tanzania, Ni lini mtuhumiwa akatakiwa kufanya mdahalo? Mahakama ni za kazi gani? Hawa watu wamefika mahali wanatuona waTanzania ni mazuzu ee? aliezima mjadala wa richmond ni yeye kipindi akiwa spika wa bunge leo anasema...
Usikurupuke kusema usilolijua! Unajua Sumaye alishindwa na Mary Nagu katika mazingira gani? Kama kitu hukijui ni bora ukanyamaza kwa kuwa utahesabiwa hekima! Uliza wanaejua ule uchaguzi ulikuwa vipi halafu watakwambia nini kilifanyika then ndio urudi hapa kuandika huu u..p..zi
Sijawahi kuona mtu ambaye amewahi kuwa padre akawa na uchu wa madaraka! hii ndio naanza kuiona sasa hivi! kama walimuita ili ajieleze na akajieleza na wakamuelewa sasa Dr alitaka nini? eti aruhusiwe ila asipewe kugombea nyadhifa kubwa nyooo!! Wewe Dr wewe ona aibu! yaani lowassa awe pembeni kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.