Recent content by Maro bartazaro

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tujadili Mfumo wa Elimu utakaotufaa Tanzania. Maoni yataunganishwa na kufikishwa Bungeni na Serikalini

    Ww jiulize tu toka 2005 serikali yetu bdo inaangaika na ujenzi wa madarasa Tulianza kwa kujenga wenyew japo tunatoa kodi mpaka sasa tunajenga kwa ela za covid bdo atujaanza kuwekeza kwenye vyuo vya ualimu wala kwenye kuajili
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tujadili Mfumo wa Elimu utakaotufaa Tanzania. Maoni yataunganishwa na kufikishwa Bungeni na Serikalini

    Ni kweli yawezekan mh rais anania ya dhati kubadilisha mfumo wa elimu lkn chini ya mfumo wa utawala huu ambao muda wote unajipanga kutawala na si kuongoza atuwezi kupata mfumo bora. Ubovu wa mfumo wetu wa elimu ni mtaji wa watawala kma tu huu mfumo na ubovu wake wanapata shida watakubali kuweka...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni aibu taifa letu kuwa na Waziri wa Nishati anayesisitiza mgao wa umeme bila kutuhakikishia JNHP itaanza uzalishaji lini

    Sio aibu tu ni jambo la ajabu nchi kma tanzania yenye umri zaid ya miaka 60 bdo tunamgao wa umeme
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mwendo huu, Ujenzi wa SGR yetu kuja kukamilika nadhani utachukua hadi miaka 20

    Mradi wowote ambao kma taifa tulikuwa hatuna utayar nao ata kma unafaida kubwa kiasi gan huwa unamatokeo mabaya moja kuto kukamilika kwa wkt mbili kuendeshwa kwa hasara So kwnye ndege asala kma tunavyo ambiwa na kweny huu SGR ndo hivi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini sukari imekuwa ghali saaana wakati viwanda vipo nchini vya kutosha?

    Kwaiyo serikal imeshindwa kutengeneza mazingira wezeshi watu wawekeze kwenye uzarishaji wa sukari japo tunaeneo kubwa la kuzarisha iyo sukar sisi kma Tanzania sukar isingekuwa miongon mwa changamoto mana tuna kila kitu ardhi ipo matajir wenye uwezo wa kuwekeza wpo soko la kuuza lipo wataalam wp...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini sukari imekuwa ghali saaana wakati viwanda vipo nchini vya kutosha?

    Sasa ao wengine atapata wp wkt wote ni ccm mawazo yao na akiri zao zinafanana wote wamejengwa kwa msingi wa kutawala sio kuongoza unategemea afanye nn mama muachen tu nae apite kma walivyo pita wengine tu mpka tutakapo pata akili tutaamua maamuzi magumu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini sukari imekuwa ghali saaana wakati viwanda vipo nchini vya kutosha?

    Ni kweli lakini sukari nitatizo ila tatizo kubwa ni mfumo nchii bdo atuna viongozi wa kutuongoza bali tuna viongoz wa kututawala ndomana kila anae kuja anakuja na yakwakwe anayo yaona yko sahii yan wenye mamlaka na nchii hii atuma maamuzi kinachofanyika ni nchi kurud kwenye mikono ya madaral so...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuvaa sare za Jeshi. Je, kaanza vitisho?

    Kma alivyo sema kwenye kauli mbiu yke kazi iendelee maana yake anaendeleza yaleyale ya mwenda zke ana changanya na ya dk maghufur
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya Mwendazake?

    Mwendazake ni neno la kiswahili ambaro maana yek ni mtu alie tutoka kweny uso wa dunia ila linatumika sna kwenye mtu ambae kwa namna moja au nyingine alikuwa sorce ya watu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Je, neno 'Mashiko' ni neno sahihi na iko kwenye kamusi?

    Yah neno mashiko nineno la kiswahili fasaha kuna neno mashiko na mantiki ni maneo mawili tofaut ila yenye maana inayo fanana tofuti yke kwenye matumizi tu mf hili jambo tunalo jadili halina mantiki yeyote kwenye maisha yetu maana yake halina faida,tija na kwakukazia hilina Mashiko
Back
Top Bottom