Recent content by markjijo

  1. M

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    We hujawahi? Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
  2. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Pia hapo ilikua typing error ni 6,850
  3. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Ni 6850 kaka sorry ni typing errors
  4. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Nimesema kuanzia msingi then me sina haja ya ku fake maisha sjawai kuwaza ata siku moja ndo mana me hua mvivu mno kubishana na mtu Ila kama upo Dom ni PM uje home
  5. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Pia katika nyumba ya ndoto zako kuna mda inatakiwa uwe mkali mana engineer atakua anakosoa mno mara hii kubwa ya kazi gani, mara sjui itakula eneo kubwa we usijali peleka moto2 af mwisho wa siku anakuja kusema mwenyewe kua kumbe uliona mbali Me nimepinashana sana na engineer wangu kwanza...
  6. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Yeah ni ajira ila ndo ivo ukibahatisha kitengo kizuri inabidi ufanye juu chini kazi yako ili flect na makazi yako yan sehem unayoishi ukimpeleka mtu akuangalie mara 9 bila kukumaliza akiangalia umri na mzigo uliosimama. Kiufupi me napenda mtu ukifika kwangu ukae kwanza uanze kunihoji...
  7. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Ndo nikakwambia kua nimeikimbia saiv kwa ilipofikia inatosha2 kuhamia kibishi it means ad mwakan tena nitairudia saiv nifanye mambo mengine ya msingi pia umenipa assignment ya kufukuzia sqm nitaifanya mkuu
  8. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Mpaka ni review tena coz engineering tulipishana kauli mana yeye akawa anafata inavotaka Raman me nikamkatalia mfano sity room alitaka iwe na ukubwa kama wa kwenye Raman nikamwambia noooooo hapana twende sehem kuna sitting room tukaipime ni bonge la sitting room tukaenda akapima na room room...
  9. M

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Nimehamia mwaka huu nikiwa na miaka 29 nyumba nj kubwa ina room 4 na zote ni room kubwa pia nyumba ina kila kitu sitting room ni kubwa sana sana mpaka sana tena mpka hapa nyumba imekula million 86 na bado inaomba kama million 40 tena ili ikae inavotakiwa nyumba ina tofali 68,500 kuanzia msingi...
  10. M

    Ni mwanamke wa aina gani unatamani kuwa nae lakini hujawahi kumpata?

    Wale wanawake wanaharakati wa haki sawa kwa mwanaume na mwanamke yani akipika chamchana na wewe uwahi upike cha usiku,,,, nje na hapo anasema unamnyanyasa
  11. M

    Ni mwanamke wa aina gani unatamani kuwa nae lakini hujawahi kumpata?

    Huenda uko uliko ndo niliko mana hii ya Arusha ni zugesheni2
Back
Top Bottom