Yah kweli,
😂😂😂😂 Sijawahi kuwa mwalimu,
Nimevaa uhusika tu, mtu anayefanya hivyo awezi andika hayo.
😂😂
Nimeandika kama mwanafunzi niliyoyaona.
Yani unakuta mwalimu anagombana mpk na mwanafunzi Kisha Binti wa darasani
Mkuu vyuoni huku shida tupu, karibu Kila chuo hivi vitu vipo
Mimi mwenyewe kipindi nasoma diploma Yapo hayo, mpk vyuo vikuu kaka.
Nimetoa huu Uzi nimeeleza experience niliyoona ona, japo nimevaa uhusika kama mwalimu Tangu nipo diploma , mpk sasa nipo university.
GPA zinanunulika hata kwa fedha...
Habari, mimi ni member ya JF , nimerudi Tena baada ya muda mrefu.
Mimi ni mtaalamu wa afya pia nafundisha chuo mpk sasa.
Sasa miaka kadhaa nyuma nilikuwa ni mwalimu katika chuo kimoja Cha afya, nilifundisha pale kwa miaka kadhaa, kabla sijahamu na kwenda chuo kingine.
Sasa niseme kwa ufupi...
Mtu ukiwa unauwezo wa kujenga nyumba ya zaidi ya million 200.
Basi jitahidi kuwawapa kazi kampuni mzuri ya ujenzi.
Pia Kuleta interior and external designer ili nyumba iwe na mvuto.
Sio nyumba inakuwa ya gharama afu Iko ovyo. Haipendezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.