Utingo, acha uongo.... Mimi pia ninaishi Kimara, huwa unaona mikutano ya barabarani kwa sababu ndio maeneo unayopita. Kiuhalisia Mnyika ni mbunge anaejitahidi sana kutembelea wapigakura wake, na huwa anajitahidi kutembelea na kushugulikia kero za maeneo yote sio yale yaliyo karibu na Morogoro...
Inawezekana hukuyaelewa hayo maandiko, umeyabeba kama yalivyo. Kumbuka wakati wa ,walimu, hakuna aliekua na sauti kumzidi yeye. Pia pitia vizuri maandiko kuona kilitokea nini kwa wale waliopishana kauli na mwalimu. Hakufanya vile kwa ubaya ila alitambua kuwa kila mtu akiongea lake mwisho lengo...
Ni zaidi ya miaka miwili na zaidi sasa tokea CHADEMA iwe mbali na ZZK, kama hakukumbukwa kipindi chote hicho si rahisi kukumbukwa sasa wala badae. Hata angeendelea kuwepo ndani ya chama, mchango wake ulishapotea muda mrefu sana.
Hili suala limefikia lilipofika kwa sababu ZZK mwenyewe kaamua...
Na baada ya uzinduzi kutakuwa na kazi za uenezi wa chama nchi nzima ila tutaanzia na Mikoa ya Arusha ,Mbeya,Kigoma na Mwanza... Can it be interpreted as a war against CHADEMA?
Sasa kuna nyumba ambayo wapangaji wanapewa maji na baba au mama mwenye nyumba?! Maji hapa yapo siku zote ila kuna vipindi huwa yanazingua mji mzima hasa mitambo ikiwa imeharibika
Kwa sifa za nyumba unayoitaka huwez kupata kwa bei hiyo.... Kuna nyumba ipo kimara ya laki 2... Vyumba viwili, toilet ndani, sebule na kijiko cha kishkaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.