Nyumba inapangishwa Kimara Mwisho

Nyumba inapangishwa Kimara Mwisho

ha ha ha haaa hapa kwenye maji umenifurahisha sana,eti "maji yapo yakutosha labda kuwe na shida ya mitambo ya dawasco" sasa hiyo mitambo mpaka itengenezwe si atasubili mpaka atapata wajukuu.

Sasa kuna nyumba ambayo wapangaji wanapewa maji na baba au mama mwenye nyumba?! Maji hapa yapo siku zote ila kuna vipindi huwa yanazingua mji mzima hasa mitambo ikiwa imeharibika
 
Duh, nimefatilia huu uzi tangu january hoping bei itawekwa....heheeee
 
Duh, nimefatilia huu uzi tangu january hoping bei itawekwa....heheeee

Wenye shida ya nyumba washapiga simu na wamejua bei na info nyingine kuhusu hiyo nyumba.... Karibu kwa info zaidi.
 
Wewe nawe Mark Fransis una longo longo nyingi sana;kwann usiweke bei hapa umebakia kutoa maelezo mengi bila vina?
 
Last edited by a moderator:
Tapeli Mwenye sura ya Malaika! Nyumba nzuri aikai week 1
 
Nyumba inapangishwa maeneo ya Kimara Mwisho,

Ipo upande wa kushoto kama unaelekea Ubungo.

Ina vyumba viwili (2) vya kulala, Sebule, Toilet ndani na Jiko.

Haina uzio (fence), LUKU ya ku-share wawili na ipo katika mazingira tulivu.

Kodi ni ndogo, inamfaa mtu anaehitaji nafasi kubwa ambae hana uwezo wa kuishi maeneo ya karibu na mjini.

Kwa maelezo zaidi, piga 0715-101740.

UPDATES:
Anaehitaji kuiona siku ya kesho tarehe 08/02/2015 itakua ni rahisi na vizuri zaidi.

Hyo nyumba ni 450,000/= kwa mwezi ni kweli ina luku ya kushare na pia ni nzuri sana tatizo moja ni ule mteremko pale kwa wale wenye magari madogo wakina sisi Corolla ni tabu. Kama kipindi ambacho sicho cha mvua gari kupanda pale ni shughuli sasa je ikija mvua si ndo hatari kabisa ....
 
Hyo nyumba ni 450,000/= kwa mwezi ni kweli ina luku ya kushare na pia ni nzuri sana tatizo moja ni ule mteremko pale kwa wale wenye magari madogo wakina sisi Corolla ni tabu. Kama kipindi ambacho sicho cha mvua gari kupanda pale ni shughuli sasa je ikija mvua si ndo hatari kabisa ....

Hii nyumba ni standard, ingekua sinza ungeipata sio kwa chini ya laki 4 kwa mwezi. Hapa utaipata kwa bei ambayo ipo chini sana ya hiyo bei.

Heee, kumbe ndo hivyo? Hapa alisema bei itakua ndogo zaidi ya 400,000/- kumbe ukienda anongeza 50,000/-?
 
Hyo nyumba ni 450,000/= kwa mwezi ni kweli ina luku ya kushare na pia ni nzuri sana tatizo moja ni ule mteremko pale kwa wale wenye magari madogo wakina sisi Corolla ni tabu. Kama kipindi ambacho sicho cha mvua gari kupanda pale ni shughuli sasa je ikija mvua si ndo hatari kabisa ....

Acha uongo..... hiyo bei sio sahihi.
 
Ngoja nimalize ubishi, bei ni laki 2 kwa mwezi na inatakiwa miezi 6.... Hakuna gharama za dalali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom