Recent content by mariumjay

  1. M

    Dhana ya "kumbemenda mtoto"

    Wandugu, kwanza hili jambo lipo!? Yan lina ukwel? Na inakua vipi mpaka mtoto anabemendwa??? Kwa wanaoujua tafadhali ==================== ====================
  2. M

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    dawa yoyote....so long as michirizi iondoke. inaninyima raha.....nashukuru
  3. M

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    msaada tafadhali kwa yeyote anaeijua dawa ya kuondoa michiriz tumboni baada ya kujifungua......thanx in advance
  4. M

    Madhara ya kuinama while pregnant

    na je kulala kwa mgongo....madhara yake ni yapi?
  5. M

    Madhara ya kuinama while pregnant

    habari za saa hizi? naomba kujuzwa madhara yanayoweza kumpata mama mjamzito anaeinama mara nyingi au kwa muda mrefu hali ya kuwa mimba yake ni kubwa...kuanzia miezi sita na kuendelea. natanguliza shukran!
  6. M

    Vyumba double 80,000

    photos dada manka....
  7. M

    Msaada: Jinsi ya kufungua simu yangu, nimesahau pattern

    ahsanteni......my phone z up n runin nw!! nashukuru
  8. M

    Msaada: Jinsi ya kufungua simu yangu, nimesahau pattern

    Naomba msaada on how to unlock simu. Ilikua na pattern sasa mtu kaweka pattern na kukosea for more than 10 times and now the phone is askng for gmail username and siijui cz ckubadili google acount nilivyoinunua......is there a way for me to unlock it without the google username ? Tafadhal...
  9. M

    Nyumba inapangishwa mpya laki 2@mwezi

    wekaga picha basi tuione????
  10. M

    Usiruhusu mumeo afanyiwe masaji na mwanamke mwenzio

    ukiwa unasaidiwa hilo usishangae ukawa unasaidiwa vyote.......hapana hyo habar
  11. M

    Lipi bora, kujua au kutojua?

    bora usinijuze......nikishajua kila kitu kitaharibika lol
  12. M

    Je unahitaji ramani(plan) ya nyumba yenye mpangilio na muonekano mzuri ?

    kwa mfano nyumba ya rum tatu.....na vngne vya muhim....bei gani????
Back
Top Bottom