Wandugu, kwanza hili jambo lipo!? Yan lina ukwel? Na inakua vipi mpaka mtoto anabemendwa??? Kwa wanaoujua tafadhali
====================
====================
habari za saa hizi?
naomba kujuzwa madhara yanayoweza kumpata mama mjamzito anaeinama mara nyingi au kwa muda mrefu hali ya kuwa mimba yake ni kubwa...kuanzia miezi sita na kuendelea.
natanguliza shukran!
Naomba msaada on how to unlock simu.
Ilikua na pattern sasa mtu kaweka pattern na kukosea for more than 10 times and now the phone is askng for gmail username and siijui cz ckubadili google acount nilivyoinunua......is there a way for me to unlock it without the google username ?
Tafadhal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.