Dr Msonde “This group will not get another chance of re-sitting the exam and it should serve as a lesson for others who plan to do the same… We will not allow them to use those methods to get results,” he insisted.
Kwa maana hatima ya hawa watoto ni kutokufanya mtihani kamwe tena au ??
Kwa hali ya Kawaida Mkuu Threat inapotokea (kama kweli sio mchezo wa kuigiza) mtu hukimbia yeye na ataongozana na weakness zake (blood family) zote ili zisije mrudisha nyuma. 😅😅😅😅😅
Kila mtu anajinsi ya kutengeneza soko.. wengine hupiga picha wengine hawapigi. But trust me the products works for real and i distribute them in the best price
Unapojiunga unapewa package ya products ambazo kama wew nia yako sio kuingiza watu basi unaweza fanya marketing ya products tu mkuu na ukatengeneza pesa bado kuliko hata anayetegemea watu kujoin
Nimekuelewa Boss, lakin si kweli kua hakuna bidhaa za rejareja ukitaka mim naweza kukupatia ujaribu
Pia Marekani hawajakataza busness za MLM kwasababu hata Donald trump ameanzisha MLM yake inaitwa Trump.
Pia maswali mengi huwa wanajibu ma expert
Kama una shida ya afya naweza kukupa dawa
Yani mpaka nimesikitika kwa izo fikra zako ndugu cha kwanza sikulaumu kwasababu vijana wengi tuna fikra ya kushindwa,na kutokuwezekana ndo maana ukiona aliyefanikiwa utaanza kumkosoa kwa kila namna badala ya kuuliza nini alifanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.