Recent content by Mario Gomez

  1. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Aisee story inazidi kunoga ninafuatilia sentensi kwa sentensi.Asante Insider Alhamisi tutakuwepo kupata mwendelezo.
  2. M

    Kila anayenitongoza siwezi kumkatalia nifanyaje?

    Pole dada umesharushiwa jina mahaba kichwani usipowahi kufanyiwa maombezi litoke utagawa mji wote hao wanane ni cha mtoto.
  3. M

    Binti wa mama mwenye nyumba

    Chai ya Rungwe!
  4. M

    I surrender kabisa

    Pole sana dear lakini isiwe sababu ya kujiengua relax and move on maisha ndiyo yalivyo huwezi kuwafurahisha watu wote.
  5. M

    FULL TIME: Singida Black Stars FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Liti Stadium | 28.12.2024

    Nasikia tajiri wa Singida Big Stars ametoa motisha ya shs milion hamsini ikiifunga Sinba sasa hiyo pesa amlipe Simba maana timu yake itafungwa goli mbili bila.
  6. M

    Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

    Wewe mdada unajitambua kweli wewe hebu piga picha rudisha miaka kumi nyuma maisha yako yalivyokuwa linganisha na sasa.Unataka raha ya dakika 3 ili ukoswe zari la mental! Ujue jamaa jinsi alivyokwisha wekeza kwako ukimuacha hutabaki salama unakula chuma.
  7. M

    Anamaanisha nini huyu Mwanamke

    Hapo itakuwa mashosti wake wameshamjaza maneno ya uongo kwamba una mke pembeni ili mkosane na mmoja wao aje kujikoki kwako.
  8. M

    Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

    Pole mama firstborn hebu tuletee mrejesho wa kile kilichoendelea kati ya kijana wako na mme wako maana ni muda sasa tangu utuletee thread yako je hatimaye mliweza kusuluhishana na kuamua kuyajenga? Kama ni ndiyo ni ipi reaction ya mmeo baada ya kujua kile kilichotokea?
  9. M

    Najuta kumkaribisha demu wangu JF

    Pole mkuu kwa maelezo haya hata hivyo inaonyesha mkeo hajatulia,kitendo cha kuwakubalia watu wengi kiasi hicho mpaka na wewe kwenye ID mpya umeshapewa number hapo hesabu maumivu.My take kwa uzi huu kwa vile yumo jamvini ni wazi akiusoma chale zitamcheza na kujijua ni yeye anayesemwa.Labda...
  10. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Duh naona Insider ameshajua kuwasiliana kwa kihabesh kweli Iryne ameshafanya kazi yake ya kumfundisha kuandika kihabesh.Kilichobakia ni kuhalalisha kumuweka ndani huyo malikia.
  11. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Asante sana bro Insider hakika umetuheshimisha sana kwa jinsi ulivyotiririka kwa mambo mengi mengi yalivyoendelea.Kuna mambo mengi ya kujifunza kutokana na matukio mengi uliyokutana nayo.Tunasubiri kwa hamu season III.
  12. M

    Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Katila wanawake mazuzu nawe ni mmojawapo any way walisemaga majuto ni mjukuu endelea na mpango wako.Jitahidi kuka kutupatia mrejesho wa majuto hapa jamvini.
  13. M

    Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke ninaetaka kumuoa nimebaini hajatulia

    Pole sana jomba huyo atakisumbua sana mbeleni sana atatulia mwezi mmoja wa ndoa kisha ataanza kuonyesha tabia yake.Ushauri wangu share swala hili kwa wazazi wako na wazazi wake kisha mfikie maelewano ya kutangaza kutengua mipango ya ndoa,vinginevyo ni kujitafutia ugonjwa wa pressure nawe nakuona...
  14. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Duh Insider wewe ni noma huu mkasa unazidi kusisimua najiuliza maswali mawili yanayojitokeza kuhusu mama J ni kweli kwamba atakuwa ameshindwa kuwa na uvumilivu amekengeuka kwa kuamua kuwa na bwana wa kuruka naye viwanjani au katika kipindi ulichokaa Dar na mama kijacho wako kuna mtu alimtonya...
Back
Top Bottom