Recent content by Mario Gomez

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya wanawake wa siku hizi kupenda uke wenza inasababishwa na nini?

    Hii inaitwa tutabanana wote humu humu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Aisee story inazidi kunoga ninafuatilia sentensi kwa sentensi.Asante Insider Alhamisi tutakuwepo kupata mwendelezo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kila anayenitongoza siwezi kumkatalia nifanyaje?

    Pole dada umesharushiwa jina mahaba kichwani usipowahi kufanyiwa maombezi litoke utagawa mji wote hao wanane ni cha mtoto.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Binti wa mama mwenye nyumba

    Chai ya Rungwe!
  5. M

    JamiiForums Tanzania I surrender kabisa

    Pole sana dear lakini isiwe sababu ya kujiengua relax and move on maisha ndiyo yalivyo huwezi kuwafurahisha watu wote.
  6. M

    JamiiForums Tanzania FULL TIME: Singida Black Stars FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Liti Stadium | 28.12.2024

    Nasikia tajiri wa Singida Big Stars ametoa motisha ya shs milion hamsini ikiifunga Sinba sasa hiyo pesa amlipe Simba maana timu yake itafungwa goli mbili bila.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

    Wewe mdada unajitambua kweli wewe hebu piga picha rudisha miaka kumi nyuma maisha yako yalivyokuwa linganisha na sasa.Unataka raha ya dakika 3 ili ukoswe zari la mental! Ujue jamaa jinsi alivyokwisha wekeza kwako ukimuacha hutabaki salama unakula chuma.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Anamaanisha nini huyu Mwanamke

    Hapo itakuwa mashosti wake wameshamjaza maneno ya uongo kwamba una mke pembeni ili mkosane na mmoja wao aje kujikoki kwako.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

    Pole mama firstborn hebu tuletee mrejesho wa kile kilichoendelea kati ya kijana wako na mme wako maana ni muda sasa tangu utuletee thread yako je hatimaye mliweza kusuluhishana na kuamua kuyajenga? Kama ni ndiyo ni ipi reaction ya mmeo baada ya kujua kile kilichotokea?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Najuta kumkaribisha demu wangu JF

    Pole mkuu kwa maelezo haya hata hivyo inaonyesha mkeo hajatulia,kitendo cha kuwakubalia watu wengi kiasi hicho mpaka na wewe kwenye ID mpya umeshapewa number hapo hesabu maumivu.My take kwa uzi huu kwa vile yumo jamvini ni wazi akiusoma chale zitamcheza na kujijua ni yeye anayesemwa.Labda...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Duh naona Insider ameshajua kuwasiliana kwa kihabesh kweli Iryne ameshafanya kazi yake ya kumfundisha kuandika kihabesh.Kilichobakia ni kuhalalisha kumuweka ndani huyo malikia.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Asante sana bro Insider hakika umetuheshimisha sana kwa jinsi ulivyotiririka kwa mambo mengi mengi yalivyoendelea.Kuna mambo mengi ya kujifunza kutokana na matukio mengi uliyokutana nayo.Tunasubiri kwa hamu season III.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Katila wanawake mazuzu nawe ni mmojawapo any way walisemaga majuto ni mjukuu endelea na mpango wako.Jitahidi kuka kutupatia mrejesho wa majuto hapa jamvini.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke ninaetaka kumuoa nimebaini hajatulia

    Pole sana jomba huyo atakisumbua sana mbeleni sana atatulia mwezi mmoja wa ndoa kisha ataanza kuonyesha tabia yake.Ushauri wangu share swala hili kwa wazazi wako na wazazi wake kisha mfikie maelewano ya kutangaza kutengua mipango ya ndoa,vinginevyo ni kujitafutia ugonjwa wa pressure nawe nakuona...
Back
Top Bottom