Recent content by Mariechitz

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mashamba ya kukodi

    Habari ndugu zangu, natumai sote tunaendelea kusherehekea vyema sikukuu. Nahitaji shamba la kukodi Mikese: naomba muongozo kwa wazoefu au kama wako humu wanaoishi maeneo hayo. Asante.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

    Wewe nawe ina maana hata wakina Chief Mkwawa huwajui, wakina Mangi Meri je? basi hata vita ya maji maji nayo utakuwa huijui. Religion was the force behind colonialism na biblia ilichochea mauaji ya mabibi na mababu zetu. Leo tuko huru sababu kuna watu walitoa uhai wao! I will honor those rather...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

    Kukubali kwamba Mungu yupo haimaanishi kwamba anaamini maandiko yanayomuhusu. Maandiko ni ya binadamu na ndiyo anayoyahoji. Of course uwepo wetu ni kwamba kuna source, kitendawili kilichopo ni kwamba kuna uwalakini kwa kuonekana kwake. Personally sijamuona huyo source, kwa hiyo ni upuuzi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

    Kwa hiyo maana yake hata watu wa dini nao wanapuyanga tu ingawa wanajifanyaga wao ndo wapo sahihi kweli kweli!?
  5. M

    JamiiForums Tanzania God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

    Kama ndivyo kwamba Mungu hawazi kama sisi, basi yote tunayoamini hata yaliyoandikwa kwenye so called "vitabu takatifu" bado ni upuuzi cause nayo pia yaliandikwa na binadamu kama sisi. Na the fact kwamba hakuna aliyemuona Mungu na kupiga naye stori mahali, hata wanaosema wamemuona hatuna uhakika...
Back
Top Bottom