Halafu pale Pale EFM ukimtoa Gerald Hando na ile team yake, ukawatoa wale jamaa wanaoendesha kipindi cha Singeli basi kile kituo kinaweza kufungwa kabisa.. Binafsi naona hivyo vipindi ndio roho ya EFM.. 😝 😝 😝 😝
Hivi nyie Wazoefu na Wataalamu wa hii industry ya habari, tusaidiane kidogo katika maswali haya.. Hizi redio na TV stations zinapataje faida kiasi cha kuweza kuendesha biashara na kuendeleza uwekezaji?.
Ila Maisha kitu cha ajabu sana, Kijana kutoka Tandale ameweza kuwaajiri na kuwalipa vijana ambao wengine inawezekana wamezliwa na kukulia Masaki na Oysterbay na kusoma best schools in town. Maisha ya Kijana wa TANDALE ni somo TOSHA kwa wale VJANA LOCAL wapambanaji na watafutaji wa maisha, hakuna...
Ushauri wangu kwa hao wasafi media watanue wigo kwa waskilizaji isikike Hadi huko vijijini bila shida yyote maana huko vijijini watu wana mda sana wa kusikiiza radio na tv
:D :D hivi hizo contents za Clouds zimekuwa registered Basata kwamba ni mali zao na hazipashwi kuwa copied na taasisi yoyote ya Burdani ndani na nje ya nchi??
Mkuu Super Villain Nadhani ni namna ya wao wasafi kujibrand zaidi. Na labda wanavyoona wao soon wanaweza kuwa ndiyo the best entertainment media hapo nyumbani.
Mkuu mimi sitaki kusema kwamba hawa wafasi Wasafi Media Hawana Jipya Wa Ubunifu Wowote katika media industry ya Tz ila ushauri wangu kwao ni kwamba Kukopikopi Clouds, Efm na EATV sana, mfano mzuri angalia segment za vipindi vya Sports Arena YA Wasafi vilivyo na uwiano wa vipindi vya Sports HQ ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.