Recent content by Marichris

  1. M

    Wakuu nina tatizo la kuhisiwa kuwa mimi ni Afisa Usalama, tatizo ni nini!?

    Kwani watu ambao ni usalama wa Taifa wanatembeaje au wana muonekano gani????
  2. M

    Big Sunday live

    Mkuu nadhani ingawa sina hakika ni kwamba CmG walikosea sana kutosajili miliki ya vipindi.
  3. M

    Big Sunday live

    Halafu pale Pale EFM ukimtoa Gerald Hando na ile team yake, ukawatoa wale jamaa wanaoendesha kipindi cha Singeli basi kile kituo kinaweza kufungwa kabisa.. Binafsi naona hivyo vipindi ndio roho ya EFM.. 😝 😝 😝 😝
  4. M

    Big Sunday live

    Hivi nyie Wazoefu na Wataalamu wa hii industry ya habari, tusaidiane kidogo katika maswali haya.. Hizi redio na TV stations zinapataje faida kiasi cha kuweza kuendesha biashara na kuendeleza uwekezaji?.
  5. M

    Big Sunday live

    Ila Maisha kitu cha ajabu sana, Kijana kutoka Tandale ameweza kuwaajiri na kuwalipa vijana ambao wengine inawezekana wamezliwa na kukulia Masaki na Oysterbay na kusoma best schools in town. Maisha ya Kijana wa TANDALE ni somo TOSHA kwa wale VJANA LOCAL wapambanaji na watafutaji wa maisha, hakuna...
  6. M

    Big Sunday live

    Ushauri wangu kwa hao wasafi media watanue wigo kwa waskilizaji isikike Hadi huko vijijini bila shida yyote maana huko vijijini watu wana mda sana wa kusikiiza radio na tv
  7. M

    Big Sunday live

    :D :D hivi hizo contents za Clouds zimekuwa registered Basata kwamba ni mali zao na hazipashwi kuwa copied na taasisi yoyote ya Burdani ndani na nje ya nchi??
  8. M

    Big Sunday live

    Mkuu cha msingi ajira ya utangazaji inapaswa kuwa na ushindani namna hii ili watangazaji wanufaike kwa malipo mazuri.
  9. M

    Big Sunday live

    Mkuu Super Villain Nadhani ni namna ya wao wasafi kujibrand zaidi. Na labda wanavyoona wao soon wanaweza kuwa ndiyo the best entertainment media hapo nyumbani.
  10. M

    Big Sunday live

    ila Naona vita yao Wasafi FM na E FM ,itakua na faida kwa Clouds FM ,katika Mgawanyo wa wasikilizaji
  11. M

    Big Sunday live

    Mkuu mimi sitaki kusema kwamba hawa wafasi Wasafi Media Hawana Jipya Wa Ubunifu Wowote katika media industry ya Tz ila ushauri wangu kwao ni kwamba Kukopikopi Clouds, Efm na EATV sana, mfano mzuri angalia segment za vipindi vya Sports Arena YA Wasafi vilivyo na uwiano wa vipindi vya Sports HQ ya...
  12. M

    Big Sunday live

    weee fala njoo pm
  13. M

    Big Sunday live

    Nipe connection yake mkuu:confused::confused::confused:
  14. M

    Big Sunday live

    Kuna mtangazi wa kipindi cha Refreeeesh, nampenda sana yule binti anasauti fulani hizi ya amazing sana.
Back
Top Bottom