hivi kwanini watanzania 2napenda uongo mimi nim!eingia kwenye account yake fb hakuna kitu kama hicho,umejitungia maneno na kuja kupost jf iliufaidike na nini hasa?
leo ktk vichwa vya habari karibu magazeti yote yameandika KIKWETE AIKATIA TAMAA CCM, cha ajabu uhuru limekuja kichwa habari KIKWETE AWATANGAZIA VITA WATENDAJI CCM. hum jf kupost nyingi zingine zina sema Tanzania daima la udaku, zingine zinasema uhuru la udaku. kwa mtizamo wako lipi gazeti la...
hivi chadema,cuf,nccr na vyama vingine vyote vyenye usajiri wa kudum vikiwa vinafanya mikutano na mabalozi si itakuwa hatari? Nape ningeelewa kama mikutano hiyo ingekuwa ya kiserikali nasi ya ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.