Recent content by mariboto

  1. M

    Dr Slaa kulakiwa Kigoma kwa Maandamano.

    mbona hata hueleweki ulichokiandika?
  2. M

    Nchimbi: Email iliyosambazwa mitandaoni ni ya Uongo, Nimeshaanza kuchukua hatua za Kisheria

    hivi kwanini watanzania 2napenda uongo mimi nim!eingia kwenye account yake fb hakuna kitu kama hicho,umejitungia maneno na kuja kupost jf iliufaidike na nini hasa?
  3. M

    CHADEMA mmenasa kwenye mtego wa kusambaratishwa

    hivi hata kazi haufanyi mda wote unashinda jf au ndo ajira yako ya buku 7.
  4. M

    CHADEMA mmekuwaje tena???

    big up,ushauri mzuri sana.
  5. M

    Mwanza: Mganga akutwa na kiganja cha mtu akimuuzia tajiri kwa sh milioni 100

    kwahiyo wewe gari inathamani kuliko mwili wako?
  6. M

    Lipi gazeti la udaku kati ya uhuru na tanzania daima?

    leo ktk vichwa vya habari karibu magazeti yote yameandika KIKWETE AIKATIA TAMAA CCM, cha ajabu uhuru limekuja kichwa habari KIKWETE AWATANGAZIA VITA WATENDAJI CCM. hum jf kupost nyingi zingine zina sema Tanzania daima la udaku, zingine zinasema uhuru la udaku. kwa mtizamo wako lipi gazeti la...
  7. M

    Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

    Hajachanganya ndo maana alitoa ufafanuzi alivyopanda jukwani.
  8. M

    Kufuatia kumtumia mchina kwenye mikutano yake: Msajili wa vyama vya siasa aionya CCM

    Anasubiri upepo kwanza, hivi kama serikali isingetoa onyo angethubutu kuinyoshea kidole!
  9. M

    Mtanzania: Serikali yanuka damu

    mbona unatoka nje ya mada?
  10. M

    CHADEMA yatoa Tamko kulaani matendo ya Balozi wa China

    hivi chadema,cuf,nccr na vyama vingine vyote vyenye usajiri wa kudum vikiwa vinafanya mikutano na mabalozi si itakuwa hatari? Nape ningeelewa kama mikutano hiyo ingekuwa ya kiserikali nasi ya ccm.
Back
Top Bottom