Habari wadau ningependa kujua aliyeapply nacte kwa kozi hiyo ambaye amechaguliwa naomba kupsta uzoefu wake namna alivyofanya maana mimi nimekosa sijui kwa kuwa nina mwaka mmoja kazini sijapewa sababu.
Msaada please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.