Huyu dini yake ni ipi? Hata mwislamu huwezi kufunga ndoa kama hiyo haiswihi wasipotoshe uislamu. Hapo mke ni mmoja tu wengine wapambe na hakuna sheikh atafungisha ndoa kama hiyo. Uislamu inapinga udhalilishaji kama huo hapo atalala na yupi kwani ndoa haitimii mpaka consumation (kukutana...
Mashallah waislamu tuzidi kuwahamasisha vijana wetu kwa kuwapa moyo wao na waandalizi kwa jitihada kubwa mwanzo mpaka mashindano kumalizika. Hakuna kitabu kinachohifadhiwa isipokuwa Quraan, Mnyezi Mungu atupe imani kufanya mema.
Asanteni mada ya wahindi sikuwa mwanachama lakini mada imenigusa nimejisajili na maoni yangu: Mimi nimechanganya mhindi, mbulu na mzigua. Nimelelewa na bibi mhindi. Jamani no nidhamu nidhamu nidhamu. Nilifundishwa na bibi kuwa mwanamke u we mbunifu mwanamke ujitume mwanamke lazima ufiche akiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.