Recent content by mariah clement

  1. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Hellow habar kama naweza pata msaada kutoka kwako plz
  2. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Tupo hapa kufatilia nn kinaendelea wen yu get started mm nitakuwa miongon mwa watu 300 wa kwanza i cant wait to meet my success
  3. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Mashamba ya vitunguu

    Najua umenielewa saana tu
  4. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Anaehutaji vitunguu maji

    Napatikana Mbeya ilongo gunia ni kg100
  5. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Anaehutaji vitunguu maji

    Gunia Lak150
  6. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Anaehutaji vitunguu maji

    Gunia 150 mkuu
  7. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Mashamba ya vitunguu

    Hayo ndo mashamba ya vitunguu yaliyotayar
  8. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Anaehutaji vitunguu maji

    Habar wadau nipo nina vitunguu maji vipo tayar kabisa shamban natafuta masoko niweze kuvitoa msaada wakuu
  9. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua bei ya vitunguu maji kwasasa

    Habar wana JF kwa anaejua bei ya vitunguu maji kwasasa katika mikoa mbalimbal nipate mwanga
  10. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Mm nmelima Mbeya sehemu inaitwa ilongo mashamba yapo muda wowote especially kipindi hiki watu wanakaribia kumaliza kuvuna mahindi yao
  11. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Kuna misimu ambayo ni mizur na ina hela saana lkn gharama za uendeshaji wa shamba ni kubwa lkn pia na faida utakayopata ni kubwa pia msimu wa mvua yan kuanzia November mpka may huu msimu ni mgumu kwa vitunguu katika maeneo meng kwasbb ya mvua na barid gharama za uendeshaji kwa heka inaweza fika...
  12. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Wat u say s ver true mm nmemaliza chuo mwaka juz mwaka jana may nikabahatika kupata ajira mbeya serikalin lkn baada ya muda tulisimamishwa kupisha ukaguz wa wafanyakazi hewa na sasa ni mwaka unaenda hatujarudishwa kazin lkn kule mm nilikutana na fursa ya kilimo cha vitunguu huwez amin...
  13. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

    Safi saana nafikiri ungefata ushauri huu ni mzuri fanya kazi kwa juhud kuajiriwa hakuna ishu
  14. mariah clement

    JamiiForums Tanzania Natafuta soko la vitunguu maji

    Habar wana JF mm ni kijana niliejikita kwenye kilimo cha vitunguu maji ndo mara yang ya kwanza kulima lkn nashukuru Mungu vimeenda vzur na vipo katika hatua ya mwsho je ntapata wap masoko mashamba yapo Mbeya-ilongo.asanteni
Back
Top Bottom