Mbona startv na tbc mikutano ya Lowassa hawarushi pia habari zake zinatangazwa juujuu ila za magufuli zinatangazwa deeply,so kwanini u judge itv kutokutangazwa kwa Magufuli?si kila channel ni ya ccm zingine ni ukawa like itv..viva ukawaaaaaaa.
Nashukuru kwa ushauri,ni mi mwenyewe nahitaji nikapime lakini nipo na hofu sana,na kupokea majibu papo kwa hapo itaniwia vigumu ndo mana nkaomba kujua kama inawezekana ukaenda kupima alafu ukatumiwa majibu baadae kwa sms?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.