Achilia mbali za mambo mengine Fedha izo zilitumika katika manispaa tatu za jiji, ilala wakitumia zaidi ya milion 350 kinondoni na temeke wakigawana kilichobaki, huku uchafu ukirejea masaa machache tu baada ya obama kuondoka.,
Swali ni je, kulikua na ulazima wa kufanya ivyo huku maelfu ya...
Ili kura yangu kwa chadema 2015 ipotee.. Hafi mtu apa. Zaid na zaid utabadilisha neno ccm na kutia CDM apo kwenye avart yako mwenyeweeee bila kushurutishwa.
Mh. Mbowe anafaa kupewa tuzo ya ubabe.. ni mbabe kuliko Robert Mugabe. ana kauli tata bungeni na spika awezi mtimua coz askari kanzu awaezi kumtoa. labda kikosi askari cha umoja wa mataifa kiitwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.