Lakini msiwe na picha ya hivyo sana.Huyu ni kigori(u-ntombi),wakiwa wengi(a-mantombazane).Kucheza dansi hii ni lazima kigoli awe hajaharibikaa(bikra).Wapo mabibi maalum kwa ukaguzi,kwani hukagua hata watoto wa kiume bikira zao kupitia kurusha mkojo kwa kuchora mstari chini pamoja na majaribio...
Iran ilikuwa imeendelea toka enzi za PM Mussa Musadik,alitaifisha visima vya mafuta toka kwa WAINGEREZA mwaka 1951.Mwaka 1953 fitina Mwingereza aliipeleka kwa AMERIKA wakampindua na kumuweka SHAH MOHAMED REZA PAHLAVI.Wairani ni wasomi toka enzi za MESOPOTAMIA(miaka 2500 kabla ya kristo).
Afrika...
Tatizo lenu wanasiasa wote mna agenda za kupotosha na kukamilisha mipango yenu.Sioni tofauti ya
Kikwete na wewe,ni vile hujapata nafasi kama yake.Afrika ya wananchi bado haijawa.
HADING'OKA alikuja piga kampeni yake shuleni kwetu mwananyamala B tukakatiza masomo baada ya "aff time" na kupigiwa debe na wazee wa mji kwani walimchoka "mzungu" BRISON.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.