Nsamehee ndg.
Harakati za matusi mm simo,ila jitahd sana usiwe una reply maandiko ya wadau uliowatambua kuwa wanao uchizi ili ikupunguzie umunkari uchwara ktk fahamu zako.
Daaaah,poleee ndugu yangu fanya akili iwe tulivu urejee vizuri andko langu,punguza mapapara tutaonekana ss wa mrengwa wa kihafedhina hatujijui n kp tunairaji ikiwa tunawakiana ss kwa ss ,
Note:nmetumia lugha sanifu na kejeli ktk andiko langu dhidi ya wazamiaji na wapenywezaji.
NB: Tuliza...
Jamani ata maaskari nao pia ni watu kama sisi ,imagine lecture ya sheria anayoitoa TAL ndani ya mahakama kama one man army adi mapoti nao wanagombania foleni ya kumuwai teacher wa sheria na teacher wa roho ngumu roho chuma cha pua, almaarufu mzee wa kuwavuruga akili govt na wanasheria wake,ndio...
Kwanini Utumie nguvu kubwa kushupaza fikra zako kuhimiza umma huu eti usimsikilize HP na kumdhihaki juu kwa kumuita Msukule?
Tuelimishe kwa kuchambua hoja zake moja baada ya nyingine kwa kuzikosoa na kuzizahihisha ndio tutazitambua fikra zako na uhalisia wako ktk U-Tanzania wa dhati kuliko ivi...
Ilo ni swali la kujibiwa na Serikali iliyopo madarakani na sio HP ,alipaswa aihoji Serikali maana kiongozi mkuu ni yule yule aliekuwa ni makamu nyakati tukio linatokea na uyo uyo ndie aliye kuwa akimtembelea TAL ktk nyakati tofauti akiwa ni kiongozi wa juu wa Serikali.
NB:HP ni adui alie amua...
Mwl.Julius K Nyerere na Mzee Warioba wao mrengwa wao upo ktk kushauri yale yenye tija kwa taifa na kukosoa yale ambayo hayana tija na afya kwa taifa letu.
Je,mstaafu JK ni chapisho lipi ambalo ameona mambo ktk taifa yanaenda ndivyo sivyo na akasimama mbele ya umma na kukemea kwa ukali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.