Recent content by Maprosoo

  1. M

    ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake

    Si swala la wanasiasa kujitafutia fursa, ni swala kutaka kuiangusha serikali kwa maslahi binafsi. Naunga mkono kurudisha pesa na mali za umma lakini sikubaliani na kupanga mkakati wa kumhusisha waziri mkuu ili aonekane anahusika na walazimishe ajiuzuru ili membe atimize lengo lake
  2. M

    ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake

    Huu Urais ck hiz watu wanaona imekuwa ni sehemu ya kifahari mno, sasa joka la mdimu Membe anadhani nani atampitisha ndani ya chama kwa hujuma za kipuuzi kama hizi. Nashauri viongozi wa CCM walitafakari jambo hili na kama ikithibitika hatua kali dhidi yake zifanyike na hasa kukatisha ndoto yake...
  3. M

    Pinda hafai tena kugombea urais !

    Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Andrew Chenge alipewa dola milioni 1 za ESCROW sawa na bilioni 2 kasoro za kitanzania imefahamika.- Chenge ambae alikua mwanasheria mkuu wa serikali wakati mkataba wa IPTL unasainiwa miaka ya 1990 amekiri kupokea kiasi hicho cha pesa kutoka kwa mwanahisa...
  4. M

    Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

    Kweli wewe ni Zero kama lilivyo jina lako endelea kujidanganya hivyohivyo, 2015 ndio mwisho wenu na hizo ndoto zenu na huyo Fisadi papa
  5. M

    Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

    Lowassa atahangaika sana mwaka huu lakini mwisho wake ni 2015
  6. M

    Twaweza: Maoni na Matakwa ya Wananchi juu ya Uongozi wa Kisiasa Tanzania kuelekea 2015

    Endeleeni kujidanganya na mawazo yenu ya usaka tonge, huoni aibu mtu amejipanga kuwa Rais tangu mwaka 2015 hadi sasa halafu anaongoza kukubalika kwa 17% akifuatiwa na mtu ambaye ameanza harakati za kuutaka Urais chini ya Miezi 3 iliyopita kwa kupata 14%. na bado amewaacha mbali wagombea wengine...
  7. M

    Lowassa alazimisha ugeni rasmi uzinduzi helikopta ya Gwajima

    Kosa la mwingine haliwezi kuwa kinga kwa mwingine ya kufanya uovu zaidi. Two wrongs don't make it right
  8. M

    Lowassa alazimisha ugeni rasmi uzinduzi helikopta ya Gwajima

    Siasa uchwara ni za kutumia mgongo wa misikiti na makanisa kutimiza nia za kisiasa
  9. M

    Lowassa alazimisha ugeni rasmi uzinduzi helikopta ya Gwajima

    leo nanyinyi mnataka ushahidi wa Picha hata haibu huna. Endeleeni kula pesa zake huyo mgawa fedha za bure bure
Back
Top Bottom