Recent content by mapozitrinity

  1. M

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Ushauri tu! CCM waache vita na Lowassa, namuona ni mtu pekee anakubalika na idadi kubwa ya Watanzania, amefanikiwa kujiweka vzr kitaifa na hata kama anavijana anawalipa acha wamsaidie kazi maana Nchi hapo ndipo ilipofika hakuna njia nyingne....sasa afanye nn kama anazo pesa na anahtaji...
  2. M

    Samwel Sitta ataweza kusimamia ipasavyo wizara ya uchukuzi kama Dr. Mwakyembe?

    Baada ya Mh. Samwel Sitta kujipotezea umaarufu wake na heshima kubwa wakati wa uongozi wake katika Bunge la katiba kwa kusimamia upitishwaji wa katiba uliokosa umoja wa kitaifa jambo ambalo lilimpoteza kabisa kukubalika kwa jamii. Sasa amepata kibarua kipya cha kusimamia yale yaliyokuwa...
  3. M

    Wabunge hawa kuna kipindi kitafika watakua wanaficha sura zao kwa jamii

    Ndio mana tumesema orodha yao ni ndefu sana....ila tunashukuru kwa ufuatiliaji wako mdau....Hawa ghasia yumo kwny orodha yetu! pia atajificha na ameanza kuficha sura yake kule kwa akina Chamaki nchanga....yan huyo ndio bomu kabsa hawezi hata kujieleza kwny mambo clitical....angalia...
  4. M

    Wabunge hawa kuna kipindi kitafika watakua wanaficha sura zao kwa jamii

    Kwa mujibu wa takwimu na historia za wabunge mbali mbali katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....imethibitika kwamba. List ifuatayo ya wabunge kwa hansard na records mbalmbal za vyombo vinavyohifadhi michango yao kwa mambo ya kitaifa hawana muda mrefu maisha yao ktk jamii yatakua...
  5. M

    Wabunge wa CCM waliowakaanga Mawaziri kwa kutegemea kuvaa viatu vyao waambulia Patupu

    Issue ni uzalendo tu nakujitambua sio kuhtaji uwaziri...sasa lini Kangi lugola alitaka uwazir...anajitambua...wanafiki na wasiojtambua na wasiojua Dunia imefika kwny kiwango gani kama akina 'Asumter' ndio waliokua wanajipendekeza kumbe wanajharibia kwa jamii...sasa mambo yko kama hvo sjui...
  6. M

    Kafulila: Simbachawene hana weledi kuwa waziri wa nishati na madini

    Tumpe nafas afanye mm sioni kama inahtaji sana weredi mkubwa kuendesha wizara....wapo watendaji wengne atasaidiana nao na mambo yataenda tu wakuu....ukwel uko wazi mfumo uliopo ni ngumu kufanya vzr kwny wizara yyte ile hata angepewa mtakatifu na mweredi wa kiwango gani....Tumuombee amalize salama.
  7. M

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Sitta, Mwakyembe wabadilishiwa Wizara

    Ujamaa usiokua na maana kazini huuuu....sasa Nchimbi tena?....haya sasa Mwakyembe anaenda kuanza upya kazi.....kwel hakuna committiment za kiutendaj kabsa.....kama ni mm bora nisiwe wazir tena..sasa mipabgo yake yote na vita zake za kupiga watu chini zinaishia hiv hiv? hapana aisee
  8. M

    Escrow Scandal: Prof Sospeter Muhongo (Minister for Energy and Minerals) resigns

    Haijalishi amefanya nn kwny wizara yake ili kwa scandal iliyokua inaigusa wizara yake moja kwa moja hakukua na haja kukaa na kibuli cha kung'ang'ania ofisi mpaka leo.....hii ndio shida ya wasomi wa nchi hii....mbaya zaid wamekua wanatumia elimu yao kupotosha mambo ya kwel kabsa kwa...
  9. M

    Escrow Scandal: Prof Sospeter Muhongo (Minister for Energy and Minerals) resigns

    Haijalishi amefanya nn kwny wizara yake ili kwa scandal iliyokua inaigusa wizara yake moja kwa moja hakukua na haja kukaa na kibuli cha kung'ang'ania ofisi mpaka leo.....hii ndio shida ya wasomi wa nchi hii....mbaya zaid wamekua wanatumia elimu yao kupotosha mambo ya kwel kabsa kwa...
  10. M

    UDOM, Mnaita watu kwenye interview wakat mnayo majina mnayoyahitaji? Ni usumbufu

    Nchi hii ina watu na wasomi kabsa waliojaa ubinafsi..ww ukiajiliwa bas au ww ukipata unachohtaji huoni tena wengne wanapta kwny hali ya namna gani...kwa taarifa zilizopo na utafit uliofanyika ni wakutosha..habar ya UDOM inafahamika vzr na watu washalifanyia kazi vya kutosha na majibu yapo...
  11. M

    Escrow Scandal: Prof Sospeter Muhongo (Minister for Energy and Minerals) resigns

    Ndio mana nasema Nchi hii ipo kwny wakat mgumu sna tunahtaj mtu ajae arudishe kwny usawa.....nasikitika sn kuiona Nchi yng ikiwa kwny hali kama hii,
  12. M

    Prof. Muhongo aita waandishi wa habari leo

    Aite asiite ila wenye kuona mbali wanaelewa nn kinaendelea....tena mm sina haja hata kusikia lolote linalohusu escrow...nilskitika siku ya kwanza tu mkuu alipotua aliulizwa akasema bado hana jb la mambo yaliyokua yakiendelea Dodoma.....siku ile tu nilkua nimemuelewa Dr..sjui Prof..I am not sure!
  13. M

    Prof. Muhongo aita waandishi wa habari leo

    Mama Tibaijuka kuongea na media ilikua ni tacnique tu...za janja toto lkn mwny akili unaelewa tu ilkua ni mpango tu wakuvuta jamii kuskia kauli ya mkuu yake....Muhongo pia kukaa muda wote huu pia ni sehem ya ujanja huo huo wa kuvuta watu kukaa na kusikiliza matamko..Issue iko wazi tu kuna...
  14. M

    Clouds FM na Kuipromote CCM,TCRA mpo wapi?

    sioni tabu ya Clouds kupiga ule wimbo wa Komba....mm tabu ninayoipata ni ujumbe uliopo kwny ule wimbo! Chama kipo kwny hali mbaya sana makada hawana uwezo wa kuona mbali....nakuhakikishia wimbo ule hautatumika kwny hizo kampeni sababu ya maudhui yaliyomo mle...eti KOMBA na timu yake wamekaa...
Back
Top Bottom