Recent content by maponz Kando

  1. M

    Maombi yangu kwa Mh. Rais Magufuli

    Ndugu yang usiambiwe fatilia kwa uhalisia amin nakwambia soko la mahindi limeanguka kwa kiasi kikubwa na kilimo chote tu kwa ujumla. Ukija upande wa biashara ndo usiseme wakisema wakopeshwe tena hao vijana kwa hali hii na sera hizi za uchumi itakuwa ni deni juu ya deni
  2. M

    Maombi yangu kwa Mh. Rais Magufuli

    We jamaa umeongea kitu cha msingi sana inshu tu ni serikali kuweka mazngira mazuri kwa wakulima ili vijana wajikite huko hisusan mazao ya biashara na chakula yanayo anguka kwa bei na mengine kukosa wanunuz mathalani mahindi, tumbaku, mbaazi na korosho
  3. M

    Maombi yangu kwa Mh. Rais Magufuli

    Hebu kaeni kushoto watu mmekopeshwa pesa ya kusoma na mtaji mtaka mkopeshwe tena wakati wenzenu tunalilia tukopeshwe hta pesa ya kujikimu (boom) na tunaikosa
  4. M

    Zitto: Millioni 50 za Magufuli kila kijiji ni hadaa kwa wananchi

    Hilo pendekezo la tatu ni la muhimu sana coz wakulima tunalia mazao tunayo lkn hakuna wateja mfano ss wakulima wa tumbaku mkoani tbr wilaya ya kaliua tuna tumbaku zetu godown hafu wanunuz hawapo kisa serikali kuongeza kodi kwa wanunuz na hvyo wanunuz kukimbia watu tunaiomba tu serikali tuuze hta...
  5. M

    Hivi Waziri Mkuu Majaliwa unayajua haya matatizo yaliyoko huku kwako?

    Asisahau mkoa wa tabora pia coz kahudumu huko miaka nenda rudi kama mkuu wa wilaya leo hii zao la tumbaku linaangukia mikononi mwake. Kwa sababu mpaka xx tumbaki haijauzwa ajl za ya makodi yaliyoongezwa na Serikali kwa wanunuz kushndwa kumudu na asilimia kubwa ya tumbaku kushndwa kununuliwa
  6. M

    RC Singida awataka watumishi wote wa umma kulima ekari moja ya korosho

    Bora yenu huko singida huku kwetu kasulu kigoma tunakakazwa kulima eti ni sehemu ya hifadhi wkt tulishaandaa mashamba afu eti hii ni serikali ya hapa kaz tu yaan hadi nachokwa
  7. M

    Mambo 25+ Magufuli amewashangaza watanzania mpaka sasa

    Vp je mkulima wa tumbaku, mbaazi achen umataq nyie kazi yenu ni kukusanya kodi tu na kuua kila zao tz
  8. M

    Mambo 25+ Magufuli amewashangaza watanzania mpaka sasa

    Kwenye hyo mikopo ya wanafunz wa elimu ya juu imedhihirisha wazi ww ni mataq
  9. M

    Wanafunzi zaidi ya 31000 kukosa mikopo ya elimu ya juu 2017/2018

    Aisey nikionaga habr hz moyo wangu unazizima. Mungu tusaidie hta nasisi tuliokosa mwaka jana mwaka huu tupate coz bila safar ytu ya elimu itaishia njian
  10. M

    Mikopo ya elimu ya juu mpaka leo waombaji wako njia panda

    Kwa kweli mwaka huu serikali ituangalie na hta watu tuliokosa mkopo mwaka jana coz huku mtaan hali mbaya
  11. M

    Wanafunzi 16,000 hatarini kukosa mikopo ya elimu ya juu

    Hapo ndo sehemu moja ambayo serikali ya CCM inaniuz. Mungu tusaidie mwaka huu tupate wote waombaji Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

    Siku nyingine aitwe na mbowe na sugu nao waongee Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Lowassa amtembelea Mhe. Tundu Lissu hospitalini Nairobi

    Mungu visaidie vbaki huko huko vikute tyr tumemalza masuala ya rasilimali zetu za MADINI Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom