Recent content by mapie

  1. mapie

    Kila nikidai tendo la ndoa kwa mke wangu anadai anaumia

    Huenda ametumia njia za uzazi wa Mpango kwa muda mrefu sana, Maana njia hizo za Uzazi wa Mpango, sijui dawa, vijiti, vitanzi vinachangia sana kupunguza hamu ya tendo kwa mwanamke kunafanya asienjoy. Hivyo, nashauri mvumilie iyo hali itakaa sawa. Endelea kumtia moyo usimvunje moyo maana...
  2. mapie

    Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Dr. Leonard Chamuriho, ni Katibu Mkuu wa Sekta ya Uchukuzi- Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
  3. mapie

    Pete kubwa kubwa wavaazo wanasiasa, wanamuziki na wafanyabiashara kwenye vidole vya mikono maana yake nini?

    [emoji23]Anashindwa kuelewa kuwa hii social network ni Pool yenye kila aina ya watu na wenye mawazo na maoni yanayotofautiana ambayo yote ndio yanaleta ladha
  4. mapie

    Nipo benki kuna mtumishi anaomba mkopo wa millioni 150+ tsh

    CEO kwenye Mashirika ya Umma walipwa 15M. After deduction anavuta mpunga wa 9M net, sasa kwa nn ashindwe kuchukua 150M. Maana kwa interest ya 16% per annum kwa miaka 5 rejesho lake kwa mwezi ni 4.5M tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mapie

    Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

    Sorry, ilijipost kwa bahati mbaya
  6. mapie

    House4Rent Unatafuta fremu kwa ajili ya biashara, jengo la kuweka hostel, ofisi na kadhalika

    Looking for space, comfort for office rent,shops,residence and students hostels business? This is the perfect place for you This place is in a Fantastic Location, located at Chang’ombe, Temeke District at Dar es Salaam City with easy access to two High Secondary School (Kibasila and Chang’ombe...
  7. mapie

    Kwa anayetafuta fremu, nyumba ya kupanga, jengo la kufanya biashara ya hostel

    LOOKING FOR SPACE, COMFORT FOR OFFICE RENT,SHOPS,RESIDENCE AND STUDENTS HOSTELS BUSINESS? THIS IS THE PERFECT PLACE FOR YOU This place is in a Fantastic Location, located at Chang’ombe, Temeke District at Dar es Salaam City with easy access to two High Secondary School (Kibasila and...
  8. mapie

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mbona mimi sipati huduma ya mkopo toka mpawa?? Ilihali ninaakiba tu ya kutosha niliyojiwekea kwenye mpawa??
  9. mapie

    Toyota crown royal saloon vs subaru regency b4

    Hii kitu umeitoa kwenye website IPI mkuu?
  10. mapie

    Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!

    Ni matter of time tu, hata huyo Nyalandu atarudi tu. Wanasiasa sio watu wakuwaamini kabisa. Lowassa alikuwa anapigwa vita na Chadema kwa ufisadi, leo hii wanamkumbatia na Mara xaxa ufisadi wake hauonekani.
  11. mapie

    Halima Mdee aishiwa nguvu, tangu afikishwe Polisi Oysterbay aligoma kula

    Kosa si alimtamka maneno ya uchochez dhidi ya mkuu wa kaya?
  12. mapie

    Uelewa kuhusu kugusa kizazi cha mwanamke

    Mmh mtani upo vizuri, kama KamaSutra.
Back
Top Bottom