Dah mbona mimi na Vitz natoka nayo Dar -BujumburaComfortability ipo kwenye crown
Safar zote hapo hamna kitu mzee.labda safari ukimaanisha dar-tanga, dar bagamyo au dar Moro.
Tatzo Hawa vjana wakisikia six cylinder ama wakiona kwenye dashboard 240km zipo kwenye kisahani na wanavobanwa na foleni za hapa mjini wakipata mikeka wanafungulia zote za kwenye sahani hamadi bin vuu kona kali.Dah mbona mimi na Vitz natoka nayo Dar -Bujumbura
Crown ndio Dar-Moro?
Haha
Wadau kwema naomba kujuzwa kata ya hizo gari mbili twajwa hapo juu toyota crown royal na subaru regance b4 na gari zenyewe ni hizi ktk pichanahpi nziri ktk ulajiji wa mafuta.Safari.Body.Spear na comfortable
Hahahaaaaaaa!!!!!!Dah mbona mimi na Vitz natoka nayo Dar -Bujumbura
Crown ndio Dar-Moro?
Haha
Hapo kwenye uzito sio kweli.....Crown ina uzito zaidi ya Legacy B4Mafuta obviously crown anakula zaidi.huyu Ana cylinder mbili zaidi ya subie,
But subie Ana torque zaidi,Ana accerelate haraka from 0-60 before crown
subie Ana addition ya speed 126 mph dhidi ya 124 mph ya crown
Subie ni nzito kuliko crown,Ana uzito wa ujumla wa kg 2075 wakat crown Ana less kwa 115kg.
Sure nlikoseaHapo kwenye uzito sio kweli.....Crown ina uzito zaidi ya Legacy B4
Ya mwaka gani kaka?Je kwa subaru impreza sti je
Hii kitu umeitoa kwenye website IPI mkuu?
Huwez kuiweka engine ya vits???Crown aisee balaa. Mteja mmoja alikuja kuagiza kwetu pale SBT Japan, juzikati imetoka Gari hii....dah very excellent: Ndani na nje...yaani dah Gari ile ni sedan ya ukweli...ila tu wese ndo inakunywa hasa safari fupifupi na foleni.