Recent content by Mapalala9

  1. M

    Tanzania: Waathirika wa COVID-19 wafikia 254 baada ya Wagonjwa wapya 84 kuongezeka. Vifo 3. (Tarehe 20 Aprili 2020)

    Daaa natamani Museveni angekua Rais wangu kwa jinsi alivochukua hatua kupambana na corona
  2. M

    Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

    Haya mkuu,tumeshasubiri hukumu imetoka serikali imekosa ushahid,,,,hivyo Manji hana hatia,,,,,,,,,,,lete maneno tena ya kuitetea serikali
  3. M

    Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

    Safisha ndan kwa maji ya moto,watapotea wote
  4. M

    RC Makonda ni mjanja sana, anajua kuzicheza karata

    Makonda hajawahi kusoma SAUT,kaanzia certificate chuo cha uvivu-Nyegezi (Fisheries), Diploma (Mbegani) na Degree Ushirika Moshi,
  5. M

    Sehemu ya maelezo ya dereva wa Lissu yanazidi kuibua maswali mengi. Polisi wamhoji hata kwa nguvu

    Akili ako ndgo sana mwnyew umekiri chanzo cha habari hakijaainishwa alafu unataka kuifanya taarfa ya kweli lazma utumie akili kidgo
  6. M

    Siku ya 8: Wakati Lissu akielezwa kula na kuzungumza kwa mara ya kwanza anafanyiwa mpango wa matibabu zaidi Ulaya

    Wewe ni kiongoz gan wa chadema umemsikia wanataka kumpeleka ulaya,India au Marekani? Zaid ya maneno ya Ndugai jana aliesema kuwa kama wanataka kumpeleka India wafuate taratibu bunge litalipa gharama? Acha story za kuokoteza mkuu
  7. M

    Siku ya 8: Wakati Lissu akielezwa kula na kuzungumza kwa mara ya kwanza anafanyiwa mpango wa matibabu zaidi Ulaya

    Jaribu kufuatilia taarfa kutoka vyanzo halisi vya chadema hizi story nyngne achana nazo
  8. M

    Ungana na wenzetu wa ughaibuni: Huu ndo mpango wao wa kusaidia matibabu ya Lissu

    Unaambiwa hyo hela ilkua inahitajika cash mezan ndio ndege iruke unafikiri hao chadema wangetoa wap na wakati ilkua usiku?
  9. M

    Matibabu ya Lissu Tsh. milioni 10 kwa siku, CHADEMA yaomba msaada Ujerumani, EU

    Ruttashobolwa nadhan,unafaham maana ya mgonjwa kuwa ICU,anaweza pata nafuu sahz na baada ya dk 5 hali ikabadilika,hvyo usione ajabu ikatoka taarfa kuwa alipata nafuu alaf hali imekua mbaya,Ndugai kasema bunge haliwez kumtibu kwa sababu taratibu zlikiukwa (serikali utaratibu ake kibali cha...
  10. M

    Mch. Msigwa na Lema waongea na BBC, waeleza hali ya Lissu na chanzo kushambuliwa kwake

    Ipo siku kiama kitakukuta wewe au baba ako,ndo hayo maneno yatakuisha Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Nyepesi kwa sababu halikukuta,ila lingekupata wewe nadhani ungekua na akili Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Mbona siku ile kutwa nzima kashinda hospital ya mkoa wa Dodoma hawakwenda kumfuata awape maelezo? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Familia ya Tundu Lissu yashtushwa na Vyombo vya Usalama kushindwa kumlinda ndugu yao

    Sio kosa lako,matatizo yanaendana na ID ako Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Familia ya Tundu Lissu yashtushwa na Vyombo vya Usalama kushindwa kumlinda ndugu yao

    Ukiwa na ubongo kama wa kuku unaeza kuona tofauti lakn haki haiangalii nani kakosea Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom