Recent content by mapaina

  1. M

    GE2015 Professor Jay kapita kura za maoni Ubunge Mikumi

    Ccm wanapiga wananchi wooooote hadi wanachama wa Chadema,unapewa kadi na mtu wakumchaguwa unaambiwa na unapewa na kitu kidogo aka takirima,unapiga kura yako ukimaliza ruksa kuchana kadi.chadema ni wajumbe tu na viongozi wa chama Kata na mitaaaa.
  2. M

    Wananchi Mtama wamkataa Nape, kumbe hakushinda yeye

    Fanyenu haraka njooni Ukawa kimya kimya october 25,tuwanyoe hawa.
  3. M

    Kumnunulia simu mwanamke

    Usimnunulie,ila akinunua simu kali kuliko ya kwako usije juta baba,mjini hapoo shauri lako.
  4. M

    CCM Mbinga kwawaka moto wa wenyewe kwa wenyewe

    Hapa songea ni Mfuime,diwani wa songea mjini,ni jembe.
  5. M

    CCM Mbinga kwawaka moto wa wenyewe kwa wenyewe

    Chadema wamechukuwa nani huko ndugu?
  6. M

    Ikulu mbona hamjibu tuhuma hii?

    Wanaogopa moto umewashwa,usije ukakolea wakijibu.
  7. M

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Kweli wa Tanzania tujitambue adui nambali moja wa nchi hii ni CCM uhalali wa namna hii uko wapi?
  8. M

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Hivi!! Hata mwalimu alikuwa anapita kwa njia ya rushwa namna hii??
  9. M

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Tatizo umekunywa ulansi asubuhi asubuhi hapo tanangozi.
  10. M

    Majina ya wabunge walioshinda kabla hata ya uchaguzi

    Bulaya -bunda lembeli Kahama
  11. M

    Majina ya wabunge walioshinda kabla hata ya uchaguzi

    Lusinde jimbo jipya na aliye achiwa jimbo la mbozi na Lusinde, hivi ni lisinde au lusinde
  12. M

    Ikulu si pango la majambazi na wezi

    Inaelekea umetumwa,wewe? richimond ilishajibiwa ilikuwa ya bwana mkubwa,tupe ushahidi wako? Na yeye alisema kuwa mwenye ushahidi amshitaki,kwa ujumla pole saaana limewauma sana magamba mwaka huuu mmekwisha waache wananchi waamuwe.
  13. M

    Dk. Slaa ajiuzulu CHADEMA, Akasirishwa Lowassa kupokelewa bila masharti!

    Tujiulize kwanza gazeti hilo ni la nani?
  14. M

    kwa hili ITV wamenishangaza

    Wanarudia tena baada ya taarifa ya habari kuisha.
Back
Top Bottom