Ccm wanapiga wananchi wooooote hadi wanachama wa Chadema,unapewa kadi na mtu wakumchaguwa unaambiwa na unapewa na kitu kidogo aka takirima,unapiga kura yako ukimaliza ruksa kuchana kadi.chadema ni wajumbe tu na viongozi wa chama
Kata na mitaaaa.
Inaelekea umetumwa,wewe? richimond ilishajibiwa ilikuwa ya bwana mkubwa,tupe ushahidi wako? Na yeye alisema kuwa mwenye ushahidi amshitaki,kwa ujumla pole saaana limewauma sana magamba mwaka huuu mmekwisha waache wananchi waamuwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.